Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,053
- 15,777
Ni aibu sana watumishi wa umma mnakiuka viapo vyenu kwa kutoa siri za serikali.Malalamiko yapo kila sehemu Kaka hata sisi ambao tupo chini ya wizara bado tunafanyia isivyo stahili.unakuta mkuu wa kitengo na boss wanaandika majina ya watu wao kwenye madokezo kila Mara..mtu anakuwa anakazi tatu halafu wewe hata moja huna...NI kawaida tu ila halmashaur mko too local kwa kweli kuliko sisi wa serikali kuu.all in all vumilia TU mkuu Huku ukijiongeza na madeal mengine mtaani....just imagine Muhasibu anakupiga panga kwenye hela yako mambo ya ofisini tuyaache TU ofisini haina haja ya kusema mtaani au mitandaoni...bongo bahati mbaya
Huu uzi nitahakikisha ninaufunga