jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,115
- 35,945
Unakuta mtumishi wa umma anadai madai mengi sana,kama posho za masaa ya kazi,pesa za kujikimu,posho za uhamisho,pesa za likizo,pesa za safari n.k
Ila kila siku ni danadana mara pesa hakuna mara OC imezuiwa,mara mfumo unasumbua,mara uploader hajaapload malipo,mara dokezo halionekani n.k?
Hivi mbona wakuu wa idara/wakurugenzi na viongozi wengine wakipata safari hizo hoja ama changamoto za malipo kwao huwa hazipo maana hela zao hutoka kwa wakati?
Hii inawahusu sana watumishi wa halmashauri hali ni mbaya sana kwa mwendo huu lazima watu wale kwa urefu wa kamba zao,poteleapote.
NB:Kuajiriwa halmashauri ni kukaribisha umasikini maishani mwako.
Ila kila siku ni danadana mara pesa hakuna mara OC imezuiwa,mara mfumo unasumbua,mara uploader hajaapload malipo,mara dokezo halionekani n.k?
Hivi mbona wakuu wa idara/wakurugenzi na viongozi wengine wakipata safari hizo hoja ama changamoto za malipo kwao huwa hazipo maana hela zao hutoka kwa wakati?
Hii inawahusu sana watumishi wa halmashauri hali ni mbaya sana kwa mwendo huu lazima watu wale kwa urefu wa kamba zao,poteleapote.
NB:Kuajiriwa halmashauri ni kukaribisha umasikini maishani mwako.