Kama umeomba course ambazo ajira zake ni za local Government na umejiajiri unaingiza angalau 400000 kwa mwezi usifikirie kuhusu ajira

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Yaani kama umesoma course ambazo ajira zake ni za local Government una bado hujapata ajira ila una kajiofisi Kako umejiajiri na kwa mwezi unaingiza faida angalau Tsh 400000 kwa mwezi usifikirie kuhusu kuajiriwa komaa na kuendeleza ofisi yako,ninaamini itakupa maisha mazuri na itakuheshimisha katika jamii.

Ajira za local Government ni chanzo cha kufa maskini, Kuna watu wapo kazini zaidi ya miaka kumi ila ukiangalia maisha yake ni ya kuungaunga mtu hana cha kujivunia kama mtumishi, yaani mtu upo kazini miaka mitano unajivunia kumiliki vitu vya ndani kama Tv,friji na Masofa na kumudu kulipa kodi ya chumba kimoja.

Maisha ya ajira za local Government ni kusubiri pension na kuishi miaka mitano ya ku enjoy baada ya hapo ni msoto mpaka unaingia kaburini.

Kama unamiliki shamba angalau la ekari mbili komaa na kilimo kitakupa heshima sisi ni mashuhuda
 
Nafikiri mshahara mkubwa pekee sio chanzo cha utajiri, bali busara na hekima bila kusahau nidhamu ya kifedha ndio vitu vitakavyo msaidia mtu kufanya maendeleo.


Mbona kuna watu wanalipwa pesa nyingi na wanaishia kuishi maisha ya kwenye andiko lako. 🤔
 
Nafikiri mshahara mkubwa pekee sio chanzo cha utajiri, bali busara na hekima bila kusahau nidhamu ya kifedha ndio vitu vitakavyo msaidia mtu kufanya maendeleo.


Mbona kuna watu wanalipwa pesa nyingi na wanaishia kuishi maisha ya kwenye andiko lako. 🤔
Is matter of priority.

Your argument can not be line of conclusion
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Yaani kama umesoma course ambazo ajira zake ni za local Government una bado hujapata ajira ila una kajiofisi Kako umejiajiri na kwa mwezi unaingiza faida angalau Tsh 400000 kwa mwezi usifikirie kuhusu kuajiriwa komaa na kuendeleza ofisi yako,ninaamini itakupa maisha mazuri na itakuheshimisha katika jamii
Ajira za local Government ni chanzo cha kufa maskini, Kuna watu wapo kazini zaidi ya miaka kumi ila ukiangalia maisha yake ni ya kuungaunga mtu hana cha kujivunia kama mtumishi, yaani mtu upo kazini miaka mitano unajivunia kumiliki vitu vya ndani kama Tv,friji na Masofa na kumudu kulipa kodi ya chumba kimoja,
Maisha ya ajira za local Government ni kusubiri pension na kuishi miaka mitano ya ku enjoy baada ya hapo ni msoto mpaka unaingia kaburini
Kama unamiliki shamba angalau la ekari mbili komaa na kilimo kitakupa heshima sisi ni mashuhuda
Ni kweli mkuu kuna video moja ya RAS amefanya kikao na watumishi wake akiwaambia waende likizo wale walikuwa watumishi wa local government ukiwaangalia wamechoka na wanaonekana wamekata tamaa kabisa ya maisha wamechoka ile mbaya ile video ipo kwa millard ayo sijui ni wapi pale kwanza wanarogana na lazima uwe chawa maana bila hvyo hutoboi.
 
Mtumidhi wa tamisemi ngazi ya kuanzia wa cheti ni kweli anapata takehome isiyopungua 400,000 baadae ya Makato yote.

Anapata bima 6 za nhif, anapata likizo, anakopesheka kirahisi na anaweza kulima hizo heka mbili ndani ya saa Moja tu, na anaweza kufanya hiyo biashara ya kumwingizia 400k

Utumishi wa umma ni sehemu ya kumtumikia Mungu.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Yaani kama umesoma course ambazo ajira zake ni za local Government una bado hujapata ajira ila una kajiofisi Kako umejiajiri na kwa mwezi unaingiza faida angalau Tsh 400000 kwa mwezi usifikirie kuhusu kuajiriwa komaa na kuendeleza ofisi yako,ninaamini itakupa maisha mazuri na itakuheshimisha katika jamii.

Ajira za local Government ni chanzo cha kufa maskini, Kuna watu wapo kazini zaidi ya miaka kumi ila ukiangalia maisha yake ni ya kuungaunga mtu hana cha kujivunia kama mtumishi, yaani mtu upo kazini miaka mitano unajivunia kumiliki vitu vya ndani kama Tv,friji na Masofa na kumudu kulipa kodi ya chumba kimoja.

Maisha ya ajira za local Government ni kusubiri pension na kuishi miaka mitano ya ku enjoy baada ya hapo ni msoto mpaka unaingia kaburini.

Kama unamiliki shamba angalau la ekari mbili komaa na kilimo kitakupa heshima sisi ni mashuhuda
local gavoo kwa rank ipi ya elimu na idara gani?

ama unawasemea watu wenye certificate chief?
 
Back
Top Bottom