umejitahidi kuongea. Ok ni tatizo la kitabia. Na ni jukumu lawewe mimi na yule kuokoa jahazi. Ofcoz itauma kujua ndugu yako ni gay inauma but are u gon leave her/him alone?? What will u do.
Kibaiolojia pia ni chanzo google uone. Kuna me wana homones za kike n virse versa.pia au hujawahi ona?
Ofcourse NO siwezi sifia. Itauma
karibu.Nimekuelewa kaka...asante!
Hii comment ndo imenifanya niamini we ni dume, acha huo mchezo mchafu.
Halafu we si unao ndugu, hebu kawakusanye mlijadili hilo swala halafu utuletee mrejesho. Usituchoshe hapa.
Kama itaakavokuuma kwako ndivo hivo na wazazi wengine inavowauma kwa watoto wao
sasa unaweza je kuwamwagia watoto wa wenzio mi sifa kuwa they are nice
girl. .personality they are nice ..The only thing is what they do! mbona kuna watu ni majambazi hatari au wachawi wanaojulikana ila wanaroho nzuri. kuliko nyie 'malaika'.yes dear penye ukweli pasemweKama itaakavokuuma kwako ndivo hivo na wazazi wengine inavowauma kwa watoto wao
sasa unaweza je kuwamwagia watoto wa wenzio mi sifa kuwa they are nice
shosti kwani dume ni nationality? nilikuwa sijui. Na siyo suala la uzungu .Kuna mashoga weusi wengi hataree. ni kuwa exposed tuu unapata kupanua mawazo. .ukiwa stagnant with one traditional view of life utakuwa mlemavu wa fikraHata si kidume huyu basi tu ni wabongo wanaojifanya wapo addicted na mambo ya kizungu
Humu kuna wengi tu wanasifia mtandao pendwa, huwa sielewi kuwa wakifanya kwa wanawake si laana ila wakifanya kwa wanaume ndo laana.
Niliwahi uliza ikiwa imedhihirika kwa ushahidi wa kutosha kuwa mmoja kaiba na mwingine kafanya ushoga nani atazungushiwa tairi huku kwetu uswazi?
Halafu hao mabasha si tunawajua, tunajua wanashughulika kwa wanaume wenzao, huwa tunawafanya nini zaidi ya kuwaita mabasha kama tunavyowaita mafisadi.
Ma aunt si wapo mtaani kwetu, wanatoka katika familia zetu tunawajua na huwa tunawacheka tu kama malooser wengine tu mtaani.
Huo ujasiri wa kuwakataa kwa maandishi tunao kweli au tunajishaua tu kusema tu huku pembeni. Tunasingizia wazungu wakati mi nimesikia neno kufira kabla ya kuiona TV. Nilijua hivi vitu vipo enzi na enzi.
My take: Mi sipendi kabisa haya ila kuwazuia wao hayo wakati machangudoa wanatoa huduma ya namna hiyo sioni tofauti. Tuchague vizuri, kama tunaukataa tuanze na kuwashughulikia walioko mtaani tusisubiri mpaka sheria au tuwasaidie waachane na hiyo tabia. Wachawi hufukuzwa wanapojulikana, wezi wanachomwa moto, na hawa tuwatafutie namna labda tutapunguza kasi.
Humu kuna wengi tu wanasifia mtandao pendwa, huwa sielewi kuwa wakifanya kwa wanawake si laana ila wakifanya kwa wanaume ndo laana.
Niliwahi uliza ikiwa imedhihirika kwa ushahidi wa kutosha kuwa mmoja kaiba na mwingine kafanya ushoga nani atazungushiwa tairi huku kwetu uswazi?
Halafu hao mabasha si tunawajua, tunajua wanashughulika kwa wanaume wenzao, huwa tunawafanya nini zaidi ya kuwaita mabasha kama tunavyowaita mafisadi.
Ma aunt si wapo mtaani kwetu, wanatoka katika familia zetu tunawajua na huwa tunawacheka tu kama malooser wengine tu mtaani.
Huo ujasiri wa kuwakataa kwa maandishi tunao kweli au tunajishaua tu kusema tu huku pembeni. Tunasingizia wazungu wakati mi nimesikia neno kufira kabla ya kuiona TV. Nilijua hivi vitu vipo enzi na enzi.
My take: Mi sipendi kabisa haya ila kuwazuia wao hayo wakati machangudoa wanatoa huduma ya namna hiyo sioni tofauti. Tuchague vizuri, kama tunaukataa tuanze na kuwashughulikia walioko mtaani tusisubiri mpaka sheria au tuwasaidie waachane na hiyo tabia. Wachawi hufukuzwa wanapojulikana, wezi wanachomwa moto, na hawa tuwatafutie namna labda tutapunguza kasi.
i know that ila uelewe US ndio inarun duniani mkuu kubali kataa. and campaign yao ni kusambaza duniani kote.
We shuldnt ignore the signs of gayness.
Sidhan kama gays huwa inawatokea overnight ....asubuhi yake ameshakuwa shoga.
Hii tabia inaanza taaratibu hadi inakuwa mazoea.
Mambo yote haya huanzia wakati wa utoto, wazazi wanapaswa kuongea na watoto wao kwa uwazi kuhusu suala la ushoga kuwa ni kinyume na mafundisho ya mungu vile vile sio tamaduni zetu waTz.
Tusipuuzie viashilio.....vya ushoga.
Mtoa mada sio mwanamke ni mwanaume ata ukisoma the way alivyoandika it simply defines him as a boy ili jina la swts ni jina tu everyone is fake here
Hongera kwa kuwa na hiyo muzungu point of view, make umeuongelea ushoga kinamna wazungu wanauonashosti kwani dume ni nationality? nilikuwa sijui. Na siyo suala la uzungu .Kuna mashoga weusi wengi hataree. ni kuwa exposed tuu unapata kupanua mawazo. .ukiwa stagnant with one traditional view of life utakuwa mlemavu wa fikra
girl. .personality they are nice ..The only thing is what they do! mbona kuna watu ni majambazi hatari au wachawi wanaojulikana ila wanaroho nzuri. kuliko nyie 'malaika'.yes dear penye ukweli pasemwe
Im against it ila jinsi dunia inavyoenda kizazi kijacho watazidi kuongezeka.