Tuongee kuhusu USHOGA

Tuongee kuhusu USHOGA

hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda Duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?

Bi mkubwa nashindwa kukuelewa au nafikiri hueleweki.

Jambo unalolijua si sahihi kwa nini tena wajiuliza nini kifanyike...

Hivi mzazi wako alipokuelekeza kuwa uizi si jambo jema, je ulipothubutu kwenda kinyume na maonyo ni nini kilitokea?

Kama ubongo wako unafanya kazi vizuri kabisa, unaona ni sahihi kwa mwanaume mmoja kuingiza mbo.o yake kwenye mkund.u wa mwanaume mwingine?

Acheni kurembaremba mambo ambayo unapaswa kuyakemea, mwanadamu uliumbwa na utashi wewe wa kupambanua jambo jema na lile baya.

Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people I've ever met.

Halafu, hivi unawezaje kuwa na rafiki au marafiki ambao mnakinzana kimitazamo au sera?

Waungwana hawakusita kusema, 'ndege wapatanao huruka pamoja' lakini naona kwako hili ni kinyume.

Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! unakuta mkaka anatwerk hataree!

Unawalaumu na kuwashangaa viongozi wa dini wakati wewe muumini wa dini unayefunzwa kila leo maiwaidha ya Muumba unashindwa kukemea huo ukengeufu.

Umebaki tu kuwakenulia meno na kutoa nasaha za mahusiano kama ambavyo katika kipande hiki umejaribu kueleza na bado unajishembendua eti NINI KIFANYIKE, ptuuuuuuu!!!

One of my Co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni KE in that relationship! Yes Strange but I always carried out with his relationship advises. .He is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .Dah !
and "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .Hot n goodlooking. .Yani najiulizaga why? Nakosa jibu.
 
oooooh my GOD Tyta wewe noma
 
Last edited by a moderator:
Heee asa hapa umeandika kitu gani ndo umarekani wenyewe.....!
Wat is stl goin rong is we Afrcns we dont have a trdtn of being honest and open....eg...t z difclt to see an afrcn family dscsn ds mata....vry fw
2. Wat to be done....is to be real understandaning tha problm it self....family shld chunguza its member ili iwe ya kwanza kumjua shoga in their family and try to help him ASAP.
3. WAT IS WRONG IS NOT FREEDOM....Hop i ansd all of ur qtns
 
vifupisho vimefanya ujumbe wako usieleweke iliniwia vigumu kuelewa unaongelea nini, na zaidi hapa jf hawapendekezi uandishi wa namna hiyo,jaribu kufuatilia sana watu wanvyoccoment humu utaona ni wachache sana au hamna kabisa wanaotumia vifupisho,unaona kama hapa umeandika kawaida kabisa na moja kwa moja nimekupata vilivyo.

Nimekuelewa kaka...asante!
 
Kwendraaa huko na upunga wako. Nakuongeza kwenye list ya mapunga waj jf.
Boflo.
Aminata mrembo
swts
secret
mpole sana
bhaunhu.
 
Solution ni kwnye familia: Wajue wanao tangu wadogo...get involved in their lives!

I don't believe in the shitty story ya gayism ni genetic problem...
 
Inaelekea unataka kutueleza point muhimu sana ila tatizo uandishi kaka JF hatuna uandishi wa namna hiyo so badilika lemalbert for the better.

Ndo maana hatuwezi kupambana na hii mada kwa sababu Africa bado tuna vingi vya kupambana navyo! What a Continent! And yet where is better than home?
 
Mtoa mada sio mwanamke ni mwanaume ata ukisoma the way alivyoandika it simply defines him as a boy ili jina la swts ni jina tu everyone is fake here
Nakubaliana na wewe mkuu..huyu jamaa atakua ni swts mmoja wao, anajaribu aone mapokezi yakoje..Hapa amechemka, hatuwaruhusu hawa watu kutuharibia tamaduni na mila zetu.. Unapanda mbegu juu ya mbegu, unategemea nini? Tuheshimu mila na desturi zetu.
 
waswahili wana msemo wao, ukitembea na mwizi na wewe utakuwa mwizi, sasa mtoa mada unanitisha eti una marafiki wengi ma.sho.ga
 
Jana nlikuwa naangalia BBC walikuwa na Interview na Gay mmoja..aisee unashindwa kumtofautisha kama ni Mwanamke/mwanaume hadi uambiwe..hii ni balaaa..!!
 
We can't kill a person, Its against God's commands....Its not our job to judge them...We can only offer to help and Pray to God this plague ends!

Ila kusimamia kuwa illegal is our responsibility...Hata mtoa mada ukipresent tabia zao zilivyo nzuri. Hiyo si excuse ya kufanya wala kuukubali ushoga. Hata kama wanajua relationship issues. That is a curse and a National Plague.

Hao wamarekani unaowasifia kutokana na hiyo laana yao wanashuka kila mwaka na mataifa yote ya magharibi. Soon they'll be like chaff and their disgusting habits!!!
 
Ndo maana hatuwezi kupambana na hii mada kwa sababu Africa bado tuna vingi vya kupambana navyo! What a Continent! And yet where is better than home?

so sad aisee because yes no place like home,home sweet home but then daaaahhh our sweet home is iinvaded!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hizi sifa zilizomwagwa hapa niliona shoga mmoja fb anawamwagia mashoga wenzie
eti ni nice people, wacheshi
nice people wangebinukia wanaume wenzao
 
mambo. .long time!

Natumai ur all fine.
Well i may sound funny..ila hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?

Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people i've ever met.

Kwa wanaowajua hawa watu nadhani mnaelewa. .ni wanaroho nzuri kuliko straight guys. Sijui why but most of em are so cool.

One of my co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni ke in that relationship! Yes strange but i always carried out with his relationship advises. .he is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .dah !
And "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .hot n goodlooking. .yani najiulizaga why? Nakosa jibu. Ukienda male strip clubs yallah usiseme.
Anyways blah to the blah..

Kutokana na umaskini sijui tamaa na utegemezi uliokithiri hii kitu ikishikiwa bango na hayo mataifa kwa tanzania kulegalize sidhani kama kuna kiongozi mwenye msimamo wa kupingana nao! Wanaugulia kiundani tuu.

Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! Unakuta mkaka anatwerk hataree!
Well nini kifanyike. Cos apart from hiyo kitu ni watu poa sana. .kuwaadhibu kwa sheria kali again who is perfect? And that's what makes them happy! Je waachwe tuu au we unadhani utamsaidiaje ?

Kwa waelewa mtanielewa .huwezi pita siku bila kukutana nao kama 3 or 4 both gender!
What is still going wrong? What has to be done? It is wrong but isn't it personal freedom?

nonsense!
 
Laana na ulaaniwe! Baba ako angekua guy ungekuepo! ---- ya!
nadhani umemaanisha gay? no he wasn't. so na enzi zao haukuwepo kama sasa.pia.sishabikii em elewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom