Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
Hahahahaaaaa huu ni ushoga na mleta nada ni shoga.....
Binafsi hiki kitu sipendi hata kukisikia, sababu ni laana. Ni sawa na binadam tumepewa miguu halafu tunatembelea mikono, nonsense.. Lazima kuanzia ngazi ya familia mpaka serikali tuweke misimamo itakayozuia huu uchafu usiendelee. Hapa nachangia huku nimefumba macho.....
Inaelekea unataka kutueleza point muhimu sana ila tatizo uandishi kaka JF hatuna uandishi wa namna hiyo so badilika lemalbert for the better.
Binafsi hiki kitu sipendi hata kukisikia, sababu ni laana. Ni sawa na binadam tumepewa miguu halafu tunatembelea mikono, nonsense.. Lazima kuanzia ngazi ya familia mpaka serikali tuweke misimamo itakayozuia huu uchafu usiendelee. Hapa nachangia huku nimefumba macho.....
Kaka...ni vifupisho ndo havijaeleweka ama ni mchango mzima? Thanks fo ur views
Mkuu, mimi nimekaa huko, niliona mambo yanavyofanyika ila kuna mambo mtu yakuyafuata na mengine kuwachia wenyewe. Sisi utamaduni wetu hauko hivyo kusupport huu uchafu niulimbukini na kutojitambua. Dini zinasaidia sana, kama mtu hana imani thabiti ya dini yake anaweza kutetereka.Kaka sio laana tu pia inatudhalilisha yani mtoto wa kiume mwenzako dah aibu sna alaf hawa wanaojifanya wamekaa marekani huwa wanazingua kama huyo mtoa mada yani anasifia ooh mtu mzur
i know that ila uelewe US ndio inarun duniani mkuu kubali kataa. and campaign yao ni kusambaza duniani kote.
Mkuu, mimi nimekaa huko, niliona mambo yanavyofanyika ila kuna mambo mtu yakuyafuata na mengine kuwachia wenyewe. Sisi utamaduni wetu hauko hivyo kusupport huu uchafu niulimbukini na kutojitambua. Dini zinasaidia sana, kama mtu hana imani thabiti ya dini yake anaweza kutetereka.
Kaka sio laana tu pia inatudhalilisha yani mtoto wa kiume mwenzako dah aibu sna alaf hawa wanaojifanya wamekaa marekani huwa wanazingua kama huyo mtoa mada yani anasifia ooh mtu mzur
huyo mtoa mada ni limbukeni mkubwa kabisa. anafikiria dunia yote ni marekani. hawazi nje ya box kwamba Kuna watu na heshima zao na tamaduni zao za kistaarabu. anafanya kampeni ya kuuhamasisha ushoga, kwa taarifa yake ameshafeli kabla hata ya kuanza. USHOGA TUTAUPINGA KWA NGUVU ZOTE.
Anakuja na maneno ya kijinga eti wako nyc anamarafiki sijui upumbavu gani nyambafffff.
akafie mbali na mashoga wake. MwenyeziMungu awalaani.
Mtoa mada sio mwanamke ni mwanaume ata ukisoma the way alivyoandika it simply defines him as a boy ili jina la swts ni jina tu everyone is fake here
Mtoa mada sio mwanamke ni mwanaume ata ukisoma the way alivyoandika it simply defines him as a boy ili jina la swts ni jina tu everyone is fake here
Si ndo hapo yani anaona US ndo kila kitu huu ni ulimbukeni inabd tubaki na misimamo yetu
i know that ila uelewe US ndio inarun duniani mkuu kubali kataa. and campaign yao ni kusambaza duniani kote.
inawezekana anatafuta mume humu Jf, atafute hukohuko us kwao Africa hatukubali huo ujinga.
Uganda wameonesha mfano na Tanzania tutawafuata siku sio nyingi.
Sidhani kama Tanzania tuna Kiongozi mwenye Ubavu wa kupinga hii kitu mbele ya Jamii za Kimataifa..
Tena hata wakisema zipigwe kura utashangaa zinachakachuliwa ili kuwaridhisha Mabwana wakubwa..
Mambo. .Long time!
Natumai ur all fine.
Well I may sound funny..ila hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda Duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?
Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people I've ever met.
Kwa wanaowajua hawa watu nadhani mnaelewa. .ni wanaroho nzuri kuliko straight guys. Sijui why but most of em are so cool.
One of my Co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni KE in that relationship! Yes Strange but I always carried out with his relationship advises. .He is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .Dah !
and "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .Hot n goodlooking. .Yani najiulizaga why? Nakosa jibu. ukienda male strip clubs yallah usiseme.
anyways blah to the blah..
Kutokana na umaskini sijui tamaa na utegemezi uliokithiri hii kitu ikishikiwa bango na hayo mataifa kwa Tanzania kulegalize sidhani kama kuna kiongozi mwenye msimamo wa kupingana nao! wanaugulia kiundani tuu.
Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! unakuta mkaka anatwerk hataree!
Well nini kifanyike. Cos apart from hiyo kitu ni watu poa sana. .kuwaadhibu kwa sheria kali again who is perfect? and that's what makes them happy! je waachwe tuu au we unadhani utamsaidiaje ?
Kwa waelewa mtanielewa .Huwezi pita siku bila kukutana nao kama 3 or 4 both gender!
What is still going wrong? What has to be done? it is wrong but isn't it personal freedom?
Mtoa mada sio mwanamke ni mwanaume ata ukisoma the way alivyoandika it simply defines him as a boy ili jina la swts ni jina tu everyone is fake here