Tuongee kuhusu USHOGA

Tuongee kuhusu USHOGA

i know that ila uelewe US ndio inarun duniani mkuu kubali kataa. and campaign yao ni kusambaza duniani kote.

sie wengine tukisoma kitabu cha unabii wa Daniel tunaona unabii unatimia kabisa
 
Wanawake kufanya haya madudu ni sawa lakini kwa mwanaume lazima akili ivurugike.....na nikiona wanaumw wa aina hii mimi najua siyo wanaume halisi.
 
Kutetea kitu ati kwa sababu those involved are cool and all that said, nafiokiri ni udhaifu mkubwa sana.....Hata marasta na wabwia unga are very coool but does that justfy marijuana and drugs in our country? A simple questions u should ask urself, Why these whites( us & europeans) are spending too much money and other resources to advocate this? Is it a most pressing problem in our countries that we can not solve ourself? Do you think they are trying to solve our problem? What is the% of gays and lesbians in our country? Kipekee nafikiri sisi watanzania tuna maadili na tamaduni zetu na hatupaswi kuamuliwa na wazungu. kwa kifupi that is abomination na hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukisupport. Nampongeza sana jirani yetu MUSEVENI kwa msimamo wake na ningependelea hata kama ingefaaa hawa watu wanywongwe kabisa.
 
shut da f* up*..Rudi darasani ujue kuandika bangi wewe.
af jinga wewe apo tena jinga af shoga la bei chee. u didn't understand my point unakuja tuu kama umeachwa na unga.
bisssh heheh u needed to calm down and enjoy your easter. Na ki thread yes it is so wat do u wanna do? bring it .Lemme see ur sense to prove how lame u are. And shost was jus a noun I cud call u idiot or anything..n u can do nothing. With ur tiny mind u dont have points to prove me wrong. .unaropoka kama mchawi aliyekamatwa. kwendraaaaaa kantangaze. .
I feel so obliged to shut u down.i didint call nobody on ma thread. .so pyeeeeee...njia ileee>>>>>>
haina floods. I'm so f♥ckn ready for you. .lemme sleep asubuhi nikuamkie. .kiherehere mkubwa wewe..u don't know me I dont need to know you..so don't mess up with me jo. nilinyamaza nikikusubiri uropoke. ef yu

hahhahaaha umeona sasa nlivyo kwambia ww jinga umeugundua ujinga wako mbona povu linakutoa bint utachizika jf usipo kua makni, hio mitusi yote ya nn sasa umeisha shiba makande ya easter, back to the point ushoga ni ujinga wa kujitakia nothing good comes out of it stop supporting ujinga ww jitu Zima ongelea vitu vya maana
 
hahhahaaha umeona sasa nlivyo kwambia ww jinga umeugundua ujinga wako mbona povu linakutoa bint utachizika jf usipo kua makni, hio mitusi yote ya nn sasa umeisha shiba makande ya easter, back to the point ushoga ni ujinga wa kujitakia nothing good comes out of it stop supporting ujinga ww jitu Zima ongelea vitu vya maana
bidada aliekuvuruga. .Nahisi kafa. nways pole
 
Ni tatizo, naona hata kujadili tatizo watu wanaona ni dhambi. Sielewi kwa nini wengi wamekuwa wakali kujadili ushoga ili hali Tanzania inakuwa na idadi kubwa ya mashoga kila kukicha. Kama mnataka kutatua tatizo, shurti litazamwe na kujadiliwa na jamii.

Familia nyingi za kitanzania haziwezi kujadili ushoga hadharani, fikiria kijana wako kajiingiza katika huo uchafu, wewe kama mzazi/mlezi unashindwa hata kuliongelea/kujadili na wanajamii wenzako, je utaweza kumsaidia kijana?

Naamini katika uwazi na kuongelea jambo bila kujitafuna, kuongelea jambo kama hili hakumaanishi kuwa mtu ni shoga au anasimama na mashoga, bali kuonyesha jamii yetu kuwa hawa watu wapo na tunahitaji kufanya kitu. Swts mimi sioni ubaya kuleta uzi wa namna hii, ila wenye ufaham tofauti kidogo ndio watakuelewa, wengi hawataki hata kuliongelea... ndivyo maisha yalivyo..
 
Last edited by a moderator:
Ni tatizo, naona hata kujadili tatizo watu wanaona ni dhambi. Sielewi kwa nini wengi wamekuwa wakali kujadili ushoga ili hali Tanzania inakuwa na idadi kubwa ya mashoga kila kukicha. Kama mnataka kutatua tatizo, shurti litazamwe na kujadiliwa na jamii.

Familia nyingi za kitanzania haziwezi kujadili ushoga hadharani, fikiria kijana wako kajiingiza katika huo uchafu, wewe kama mzazi/mlezi unashindwa hata kuliongelea/kujadili na wanajamii wenzako, je utaweza kumsaidia kijana?

Naamini katika uwazi na kuongelea jambo bila kujitafuna, kuongelea jambo kama hili hakumaanishi kuwa mtu ni shoga au anasimama na mashoga, bali kuonyesha jamii yetu kuwa hawa watu wapo na tunahitaji kufanya kitu. Swts mimi sioni ubaya kuleta uzi wa namna hii, ila wenye ufaham tofauti kidogo ndio watakuelewa, wengi hawataki hata kuliongelea... ndivyo maisha yalivyo..
Mkuu u muelewa sana. tatizo la jamii yetu ni UNAFIKI na HUKUMU ..Na upo from family level. Na ni hatari kwa Taifa. nichukue mfano. .Kuna blog moja huwa inatoa harusi na shughuli nyingine. .unakuta mtu amevaa vituko ama make up ipo kama nyani. .unawaza je wakati anatoka home hawa kuona? Au bibi harusi amechorwa make up like haloween witch. .ila watu wana smile
utasikia Amependeza but behind her back wanasema vibaya hatari. .sasa ukija suala la ukahaba, ushoga. .yes vipo sana tuu ila sasa hata kuongelea watu wanashindwa wanajifanya hawausiki nakuwa wakali. .ni wakati sasa kila mtu asimame kwa nafasi yake asaidie. Me I'm not gay/lesbian. .nope. but that doesn't stop me to say wat I see from them. At least ninaowajua. yes nadhani kutokana na what they are into wapo insecure and decided to be nice to fee loved. for my view. hii tabia ni mbaya sana na katika boarding schools in Tanzania zipo ila who to step up? ! wote wanafiki wanaishia kusema pembeni but wakiwa nao wanajifanya wema hata ha wazungumzii.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu u muelewa sana. tatizo la jamii yetu ni UNAFIKI na HUKUMU ..Na upo from family level. Na ni hatari kwa Taifa. nichukue mfano. .Kuna blog moja huwa inatoa harusi na shughuli nyingine. .unakuta mtu amevaa vituko ama make up ipo kama nyani. .unawaza je wakati anatoka home hawa kuona? Au bibi harusi amechorwa make up like haloween witch. .ila watu wana smile
utasikia Amependeza but behind her back wanasema vibaya hatari. .sasa ukija suala la ukahaba, ushoga. .yes vipo sana ttuu ila sasa hata kuongelea watu wanashindwa wanajifanya hawausiki nakuwa wakali. .ni wakati sasa kila mtu asimame kwa nafasi yake asaidie. Me I'm not gay/lesbian. .nope. but that doesn't stop me to say wat I see from them. At least ninaowajua. yes nadhani kutokana na what they are into wapo insecure and decided to be nice to fee loved. for my view. hii tabia ni mbaya sana na katika boarding schools in Tanzania zipo ila who to step up? ! wote wanafiki wanaishia kusema pembeni but wakiwa nao wanajifanya wema hata ha wazungumzii.

True that, hypocrisy na kutaka kuonekana ni wema sana..
Ushoga ni tatizo, lijadiliwe na kutafutiwa ufumbuzi kama yalivyo matatizo mengine, mbona tunawaona mitaani, mbona tupo nao kila siku, hatuishi kuwasema behind their backs...
 
They are way too many, too fragmented to be shared. Ila tumeishi na mashoga na mabasha for years. It was heartbreaking.
 
Mwanamme ukiwa na roho nzuri kupita kiasi unakua na kasoro....hatutakiwi tuwe tuna wachekelechekelea nyinyi wanawake....kwa vile wao wameamua kuusamehe ujanadume wao lazima wawe cool....
 
NI kweli mkuu...wanachokitafuta hawa jamaa ni kwamba tuuingie kwenye hili Janga...ili laana ya Muumba zianze kutusakama...kama masunami, mavimbunga na mafuriko...hata nguvu kazi...kwa sababu huku kwetu bado tunahitaji washika sururu na mejembe watu wote wakia mashoga nani atachimba mitaro.....au kupiga jembe...
 
Duuh hii ishu ni heart breaking,sawa dhambi wote tunafanya ila hapa daaah...i pray for all the men in my life,wakubwa kwa wadogo waepuke hii tabia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom