Wat is stl goin rong is we Afrcns we dont have a trdtn of being honest and open....eg...t z difclt to see an afrcn family dscsn ds mata....vry fw
2. Wat to be done....is to be real understandaning tha problm it self....family shld chunguza its member ili iwe ya kwanza kumjua shoga in their family and try to help him ASAP.
3. WAT IS WRONG IS NOT FREEDOM....Hop i ansd all of ur qtns
Nimeshindwa kusoma...mwandiko mchafu mno
nenda huko shost ako nani, eti umekaa na akili zako timamu au za uendawazim kutuambia eti mashoga they are so great sio
kama nomal guys, nakithread chako unaona kiko nomal kabia, jinga ww
Roho chafu ilojaa chuki.....nina imani kwamba wewe sio mzazi haswaa mama.......cha ajabu ni kwamba tunawapenda kaka na dada pamoja na watoto wetu wote jinsi walivyo period!!!.
Sio kila kinachofanyika US na huku kiwezekane.
Isack Shayo. ..u sounds so exposed and open minded great thinkerSwts....its only open minded people who can see the point behind your thread...
Afu unavyosema gays are great people, phsychologically kuna sababu ya wewe kuwaperceive hivyo. Ladies always like that little 'girlish' part of a guy's heart. Asa huyo co-worker wako girlish part yake imekua advanced na anaidisplay sana....thats why unaona he is open, sweet n all that. We straight guys are too.
And for the record...this dis-minder attitude yako duh!
Acheni mbwembwe zenu nyie watu..
naona porojo zimezidi na matusi.. tafiti zinaonesha ushogo umeanzia afrika.. tena kuna mfalme uganda alikuwa anafanya vitendo hivi karne ya 17.. yaani kabla ya wazungu kuja Afrika..
unapoanza kudanganya watu eti ushoga umeanzia ulaya unaonekana bweg e tu.. mtu wa story za vijiweni..
nyie pigeni vita kivyenu bila kuwasingizia wenzenu weupe..
europe ndio waliokuwa wanaunga mkono ushoga na sio US, tena nchi zilizokuwa zinazoupinga ni ufaransa na uingereza.We nawe em read between the lines and waza nje ya box
acha utahira wewe umeambiwa hakuna mtu anazaliwa shoga ww et unawapenda jinsi walivyo, ushoga sio jisi walivyo ni ufilauni wa kuuafuta idiot
nenda huko shost ako nani, eti umekaa na akili zako timamu au za uendawazim kutuambia eti mashoga they are so great sio
kama nomal guys, nakithread chako unaona kiko nomal kabia, jinga ww
Nimepita hapa.
Et kwa sababu kuna mateja na hawawezi ishi bila kuacha utegemezi wao kwenye drugs then tutunge sheria za kuhalalisha? ??
Kuna watu wamezoea kitabia Cha uwizi na udokozi na hawawezi ishi bila kudokoa na kufanya uhalifu, Je turuhusu wafanye sababu ndivyo wanavyojisikia? ?
The rule of order hapa ni kuheshim law of nature. Bhasssi!!