twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Hesabu ya haraka haraka inaonyesha Waislam wa Tunduma watahisi wameonewa kwa uchache wao hivyo watawaambia wa Tanga,Lindi,Mtwara,Zanzibar,Pwani,Dar es salaam,Tabora na Kigoma stand up KHISAS ni lazima.Baada ya hapo mikoa yenye majority ya wakristo nao kama Arusha,Mbeya,Mwanza,Iringa na Mara nao watareact na huo ndio utakuwa mwanzo wa Genocide.Tunayoyatafuta tutayapata.Sisi ni binadamu kama binadamu wengine waliopo Nigeria,Bosnia na nchi nyinginezo zilizopitia mateso ya namna hii.God Forbid