Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

Status
Not open for further replies.
Na lile agizo la juzi kuwa wakristo wachinje limetoka wapi? Hata hivyo wakristo wote wakae wakijua hawajafunja sheria yoyote katika taifa hili, Kwa kuchinja kwani hakuna kifungu chochote cha katiba kinachoeleza na kufafanua kwa kina kuhusu uchinjaji,

Wanavyolili kuchinja leo hii mkristo akitaka kumla kitimoto je apeleke kwa muislam apate kumchinjia huyo kitoweo?
 
Haya wale wenye haki miliki ya kuchinja wamchinje na huyu Ng'ombe.

View attachment 88995

Huu ni ukandamizaji wa kidini ambao Serikali ya Kikwete inataka kuufanya, huwezi kusihi watu washiriki ibada za kiislam wewe kama Serikali ilihali wewe unajifanya huna dini, mimi nitajichinjia vikuku vyangu bila kumshirikisha mtu, kwanza suala la mboga mboga ni personal sana, mimi nadhani Serikali ingesisitiza kwamba ili asije mtu akalishwa kibudu ni lazima uandike kwamba hii nyama nimechinja mimi mkristo au muislam hivyo uchague leo ungependa kula nyama zilizo chinjwa na mtu gani lakini siyo kulazimisha watu lazima wachinjiwe na dini ya kiongozi aliyepo madarakani.
 
attachment.php

Gari za polisi saizi tunduma

attachment.php
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1364977761777.jpg
    uploadfromtaptalk1364977761777.jpg
    83.5 KB · Views: 885
  • uploadfromtaptalk1364978244055.jpg
    uploadfromtaptalk1364978244055.jpg
    70.6 KB · Views: 889
Tupe habari kimili haya mambo hayahitaji ushabiki, tupe taarifa ili tujadili namna ya kutatua hili tatizo maana wote sisi ni ndugu,ni wakati wa kujiuliza tumetoka wapi?, tumefikaje hapa? na tutatokaje hapa?

Naskia m
Kuu wa mkoa jana alikwenda kutuliza but wakamkatalia wakasema wanataka kauli ya rais khs masuala haya.leo asb fujo zimeibuka matairi yachomwa moto barabaran,polisi wapiga mabomu,vibaka wapora madukani.....
 
ukweli hisia hizi zinachochewa na viongozi wa chadema tunduma
Wisdom is the judicious study and application of knowledge. It is a deep understanding and realization of people, things, events or situations, resulting in the ability to apply perceptions, judgments and actions in keeping with this understanding. It often requires control of one's emotional reactions (the "passions") so that universal principles, reason and knowledge prevail to determine one's actions.......... THE OPOSITE OF THIS IS WHAT YOU ARE..
 
Inasemekana jana kuna maagizo yalitoka kwa mkuu wa mkoa kuwa leo wakristo wachiche lakin wakristo walivyofika asubuh wakakuta FFU wapo tayal machinjion na hawakuruusiwa kuingia..wakajikusanya nje...ila waislamu waliruusiwa kuingia na kuchinja..baada ya nyama kutolewa FFU wakaondoka machinjion wakajua kazi imeisha na furugu hamna...sasa hapo ndo habar zikaanza kuenea kuwa nyama ya leo wamechinja waislamu tena....

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hivi kweli ukanilazimishe muislamu anichinjie kitoweo changu mwenyew..tena kwangu mimi housegal wangu ndo mchinjaji wa kuku bonge la shujaa..wasituletee
 
poleni sana tunduma badala ya kuchinja ngo'ombe, mbuzi, kuku nk mtachinjana wenyewe sasa
 
Nashauri suala la Kuchinja liwekwe kwenye katiba mpya ili kuondoa migogoro na malumbano ya kidini ambayo yanaatarisha amani yetu! Kila raia awe mwanaume au mwanamke aruhusiwe kuchinja.

Kwani sasa katiba imekataza wanawake na wanaume kuchinja?

Wewe kama huli samaki nani anakulazimisha kula?

Kama wewe huruhusiwi kula nyama usiiyoifanyia matambiko kwani nani ana kulazimisha kula si uaacha?

Sasa kwa nini ulazimishe nyama za wenzako uzifanyie matambiko yako? Ni kukosa busara.

Waislam kama hawawezi kula nyama ililyochinjwa na Mkristo, hawalazimishwi kula. Wachinje za kwao ambazo na wa Kristo watakula wakitaka lakini wao wasile kwa Wakristo. Full stop. Ujinga ujinga hatutaki sisi.

Kwa nini utake katiba mpya ijiiingize katika undani wa imani za watu?

Katiba mpya iendelee kutojkuwa na imani za dini za watu. Vinginevyo mtatafuta maafa yatakayofuta kizazi chote cha sasa juu ya uso wa nchi ya Tanzania.
 
polisi wameishiwa mabomu ya machozi wameingia mitini. Kwa hiyo raia wanataka kwenda kuchoma msikiti nimejaribu kuwashauri imeshindikana
 
ndio zenu utumbo mtupu mnataka kuitia nchii kwenye vurugu njama zenu za kuigawa nchi hazitafanikiwa nani asiejua kuwa ninyi ni vibaraka wa mabeberu
Halafu wengine wameenda kwenye hizo vurugu huku majumbani kwao wameacha majungu ya maharagwe yakichemka....
To be honest, hata baadhi ya waislamu wanaona aibu san juu ya mambo wayafanyayo waislamu wenzao.....
1. Mbona kanisani hamuingii? kwa nini usiipite hiyo bucha yenye nyama iliyochinjwa na mkristu?
2. Kwa nini unitake nishiriki ibada ya kiislamu wakati mimi ni mkristu?
3. Tuwaletee na kitimoto mtuchinjie?
4. ..... waislamu mmezidi mno kulalama na kudai dai vimambo visivyowasaidia...
 
Kwa nini tunang'ang'ania kuchinja?Kuna nini huko?Hivi hawa jamaa wa kuchinja wamepimwa afya zao kama hawana magonjwa ya kuambukiza?Kama mtu hakutaki umchinjie kitoweo chake,kwa nini ulazimishe?Huyu mungu wa majambia,visu,mapanga anatisha.Mazoea si sheria.
Wachungaji wa ng'ombe ndo hao wanaohamishwa hamishwa,wameonekana kero kwa serikali.Wamasai wanafukuzwa Ngorongoro.Hakuna anayejali kuboresha afya za wafugaji na hawa wanyama tunaochinjana ili kuwachinja.
 
Tumuombe mungu atuepushe na balaha hili, lakini wakati tunafanya maombi hayo, tutafute majibu ya maswali yafuatay kwa pamoja 1. Tumetoka wapi?
2. Tumefikaje hapa?
3. Tunatokaje hapa tulipo?
 
Hivi jamani tumefikaje hapa na tunatokaje?
Tatizo ni dini hasa au kuna mengine? Kwa nini hatuvumiliani? kwanini iwe sasa kuna nini huko?
 
kuna hatari kubwa,polisi wasipokua makini huenda hali akawa mbaya zaidi....maneno yanayongelewa mitaani sio mazuri..!
 
Vurugu za kijinga. kwani kuna shida gani muisilamu kuchinja kama ni sehemu ya ibada yake? Maadamu hiyo si ibada kwa mkristu wangeachiwa tu waisilamu wachinje na wakristu watafute kazi nyingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom