Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

Status
Not open for further replies.
tatizo watu wengi ni wakristo wa majina hawamjui mungu wanayemwabudu na neno lake, mfano: Biblia inasema katika hosea 4:6 "watu wangu waangamizwa kwa kukosa maarifa, kwa kuwa umeyakataa maarifa nami nimekukataa usiwe kuhani." wakristo mwanzoni hawakujua kwamba siku zote walikuwa wanakula vitu vilivyotolewa sadaka kwa mashetani au miungu mingine. Sasa baada ya mungu kuwajulisha kwamba uchinjaji kwa waislamu ni ibada na ndio maana mnyama wakati wa kuchinjwa lazima aelekezwe kibra huko maka, huwezi kuwalazimisha kuendelea kula vyakula vilivyoungamanishwa na miungu ya kigeni/
maisha ya mazuri muda mrefu usio na mwisho ni baada ya kutoka katika dunia na vitu unavyoiita vya kipuuzi ndivyo vinakupa nafasi ya kuingia katika maisha hayo mazuri. Ukiendelea hivyo utaingia maisha ya shida sana. Hapa serikali wanapaswa kumaliza jambo hili kwa hekima ndogo tu
hekima ndogo ipi esam
 
Kule kwetu,
Kisale
Mabunga
Kisegese
Kibole
Lufilyo
Itete
Lupata
hakuna waislam lakini tunajichia tu na hatujadhulika.
 
Kwa nini hakutuletea imani moja tu?
Mungu amesema tumwamini yeye tu, ila kuna wahuni walitoka Ulaya na Asia huko wakakuta mapoyoyo ya kiafrika wakayanywesha sumu eti Mohamad SAW na wengine Yesu Kristu.Mwisho wa siku mapoyoyo yanapigana yamesahau miaka 2000 kabla ya Kristu na Mohamad watu waliishi bila hayo majina na hakuna mwenye evidence kwamba leo wako wapi.
 
mdini wa kwanza, " mdini giant" ni mwl nyerere watu hawaujui ukweli !
Someni vitabu muujue ukweli...

Mwl nyerere aliasisi na aliwapa wakristo ruzuku kubwa kuendesha shule na mahospitali , aliwasamehe kodi vifaa vyao vyoote na yet huduma hizo hazitolewi buree...mambo haya ndio yaliyojenga uhasama kati ya dini hizo mbili kubwa tanzania !

Mahali kokoote ambako kanisa linastawi jamii husika lazima iporomoke kiuchumi na idhalilikee, rejea liberation theology dhidi ya kanisa !

vitabu gani hivo ndugu na sisi tuelimika .....ni nchi gani ukristo umestawi uchumi ukaporomoka!
 
Yani mimi nina imani yangu wewe unilazimishe kumichinjia ni imani yako nisiyoiamini?kama ninaona ni ya kishetani inakuwaje?ukanipigie dua nisiyoisali wala kuiamini kisha uniletee limzoga tu nikale?hakieleweki hapa...kitanuka kidogokodogo tu
 
Nashauri suala la Kuchinja liwekwe kwenye katiba mpya ili kuondoa migogoro na malumbano ya kidini ambayo yanaatarisha amani yetu! Kila raia awe mwanaume au mwanamke aruhusiwe kuchinja.

Haya sasa kikwete na ccm yenu,mlianzisha mkiamini udini utawaokoa kwenye uchaguzi sasa umeota mizizi.
Kipindi mataifa mengine yakipambana kutetea rasilimali zao ili ziwasaidie kwa maendereo ya mataifa yao,wabongo wanaona mambo mengine yako sawa ila shida na kikwazo cha maendereo ni uchinjaji,hiki ni kituko cha kalne,yangu macho kwani hata wewe unayeng'ang'ania kuchinja sijui mtafaidka na nini?ni sawa na kumwona mwenzako anakura bangi kama kitoweo na we huri bangi ispokuwa unataka na wewe uryhusiwe kuvuta hadharani kwa sababu tu mwingine ameruhusiwa kutumia kama kitoweo,mkimaliza hilo mwombe kuishi mbugani kama wamasahi kwanini wao waruhusiwe na wanalindwa na sheria?lakini wengine ukionekana mbugani ni risasi.
 
Kule kwetu,
Kisale
Mabunga
Kisegese
Kibole
Lufilyo
Itete
Lupata
hakuna waislam lakini tunajichia tu na hatujadhulika.
 
Vurugu kubwa zinaendelea tunduma muda
huu baina ya wakristo na waislam


Muda kama wa lisaa limoja kuna vurugu kubwa zinaendelea
maeneo ya Tunduma baina ya Wakristo na Waislam..chanzo ikiwa ni suala la
kuchinja...Mpaka muda huu magari 8
yamechomwa moto na Msikiti mmoja
umeshachomwa moto

Walioko Tunduma kama mna habari kamili tafadhari tupasheni
 
Nilizani wewe uko na full detail unaomba uabarishwe tena unaweza tupa source ya habari yako pls
 
inamaana watu hawajaisikia hutuba ya Kikwete? CCM imeendekeza siasa za kugawa watanzania na haya ndo mavuno yake
 
Tatizo watu wengi ni Wakristo wa majina hawamjui Mungu wanayemwabudu na neno lake, mfano: Biblia inasema katika Hosea 4:6 "watu wangu waangamizwa kwa kukosa maarifa, kwa kuwa umeyakataa maarifa nami nimekukataa usiwe kuhani." Wakristo mwanzoni hawakujua kwamba siku zote walikuwa wanakula vitu vilivyotolewa sadaka kwa mashetani au miungu mingine. Sasa baada ya Mungu kuwajulisha kwamba uchinjaji kwa Waislamu ni ibada na ndio maana mnyama wakati wa kuchinjwa LAZIMA aelekezwe kibra huko Maka, huwezi kuwalazimisha kuendelea kula vyakula vilivyoungamanishwa na miungu ya kigeni/
MAISHA YA MAZURI MUDA MREFU USIO NA MWISHO NI BAADA YA KUTOKA KATIKA DUNIA NA VITU UNAVYOIITA VYA KIPUUZI NDIVYO VINAKUPA NAFASI YA KUINGIA KATIKA MAISHA HAYO MAZURI. UKIENDELEA HIVYO UTAINGIA MAISHA YA SHIDA SANA. Hapa serikali wanapaswa kumaliza jambo hili kwa hekima ndogo tu
Umenena vema kabisa ndugu, Kwangu mimi sio tatizo kama nina kamyama kangu kama vile mbuzi au ng'ombe n.k au ndege wangu kama kuku,bata n.k ninaamua kuchinja mwenyewe na kufanya kitowe changau na familia yangu au wakati wingine kumpa jirani yangu mwenye imani kama yangu, mimi naona hakuna kosa., Ila tatizo linapokuja kwamba labda mtu anachinja na kuuza katika jumuia ya watu wenye imani tofauti. Lakini Tumuombe Mungu kila mtu kwa imani yetu atuepushe na mambo kama haya , na kutupa uvumilivu na ustamilivu katika nyoyo na nafsi zetu kuliko kukimbilia kufanya fujo

 
Mdini wa kwanza, " MDINI GIANT" ni Mwl Nyerere watu hawaujui ukweli !
Someni vitabu muujue ukweli...

Mwl Nyerere aliasisi na aliwapa Wakristo ruzuku kubwa kuendesha shule na mahospitali , aliwasamehe kodi vifaa vyao vyoote na yet huduma hizo hazitolewi buree...mambo haya ndio yaliyojenga UHASAMA kati ya Dini hizo mbili kubwa Tanzania !

Mahali kokoote ambako KANISA linastawi jamii husika lazima iporomoke kiuchumi na idhalilikee, Rejea Liberation Theology dhidi ya Kanisa !
Haya mafundisho ya hovyo ndo yaliyotufikisha hapa, Nyerere alilijenga taifa imara la watanzania wenye kuheshimiana, wamekuja warundi akina ponda na mkôngo mwenzake ilunga wakatumia udhaifu wa viongozi wetu kupandikiza chuki katikati yetu
 
Natamani nchi yangu ya zamani ambapo sikumtambua mtanzania mwenzangu kwa jina,wala nyama,wala rangi,wala alikotoka ,Mungu wangu simamia nchi hii tuna kiongozi mwenye mapepo hasikii wala hambiriki ,tatizo linasambaa yeye anaangalia tu
Natamani maisha yale, enzi ambazo hawa mitume Mohamed na Yesu kristo hawakuwepo, tulimwamini Mungu mmoja tu, muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Hawa wakoloni wametuletea mafarakano kwa kutuletea tamaduni zao.
 
Ni zaidi ya miaka 50 sasa ya uhuru kwanini haya mambo yanatokea sasa? Kwanini hakutokea mwanzo?
Tumefikaje hapa?
Binafsi naona uchu wa madaraka umetufikisha hapa kwasababu watu walitumia mbinu chafu ya Udini ili waendelee kushika Madaraka sasa kwa mtazamo wao walidhani baada ya kuendelea kushika Madaraka mambo yangeisha,
Kumbe mbegu waliyoipanda ilendelea Kumea taratibu na sasa Msimu wa mavuno umewadia sasa wanavuna walichopanda. Tazama eti suala kuchinja kitoweo linafanya watanzania waanze kuchinjana wao kwa wao na si kitoweo tena.
Dhambi ya Ubaguzi imeanza kututafuna kama alivyotuasa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, na bado Serikali haichukui hatua yoyote kama vile Tunaishi katika "Anarchy Government".
Mwisho wa siku hatutaishia katika mambo ya kuchinja tu lazima tutaenda mbali zaidi sitoshangaa kama siku tukifika katika huduma zingine za kijamii.
Tafadharini watanzania Tusishabikie haya mambo tusije fika walipofika nchi zingine kama Nigeria, cha muhimu tukae ka Watanzania na tutafute suluhu ya haya mambo.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
tunahitaji viongozi wenye hekima na busara nyingi wakati huu! nina mashaka na huyo aliyeamua kutoa amri bila kupima mshindo nyuma wa tangazo lake!! ni vema viongozi wakawa ni wale wanaojua maisha halisi ya watu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom