mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,313
- 291
sababu ni nini? picha please
Yaan ww neno chanzo na sababu yote yana maana moja...
sababu ni nini? picha please
Mkuu wewe ndio mshitakiwa namba moja mpaka hapa. Aya tuambie wangapi wamegongwa mpaka kufa kwa vitu vyenye ncha Kali?polisi wameishiwa mabomu ya machozi wameingia mitini. Kwa hiyo raia wanataka kwenda kuchoma msikiti nimejaribu kuwashauri imeshindikana
Haya yanatokea chini ya utawala wa ccm na rais J. Kikwete. Ni kwanini?
Kwa nini?kwa kukataa kula nyama za waislamu?Wakamatwe mara moja. Jela mwaka with no option for fine!
Nlikuheshimu sana Mkeshaji ! Nimeziona busara zako na nimeondoa shilingi yangu kwenye heshima nliyokuwa nakupatia !
Kwahiyo Waislamu wao kuchinja ni ibada na ni ibada ya mapepo sio ? Hujaondoa tatizo ila umekoleza moto yaani wewe huna tofauti na hao wazee wa CCM -Lumumba wakina nani hiii, hawana suluhisho !
Kwani miaka 50 iliyopita tamaduni hii ya kuchinja ili mule woote ilifanyika kwa watu wa dini gani ? Kwanini haikuwa ni Ibada ya mapepo ila iwe leo ?
Yale yale " Tutahakikisha nchi hii haitawaliki " !
Hivi nyie watu Chadema imewafanyia nini? Chadema hapa inaingiaje? Watu wameamua wajichinjie vitoweo vyao halali ili wale alafu anatokea mtu anasema wapelekewe watu wafanye ibada ukipinga basi wewe ni Chadema, nyie baadhi ya waislam mnataka kuishushia sana dini yenu ionekani wote ni wafinyu wa mawazo
Tumeshafika tayari ivo!Tutafika kweli?
waambie bana mnyoo ......sisi kwetu unaweza kutembea kijiji kizima kutafuta sheikh achinje ! Tunafanya hivo kwa usaatrabu wetu tuliofundishwa na kristo! Iweje leo iwe lazima .......jamani mbona mnatuamsha hata tuliolala! Mimi sijawi kumwangalie mtu kwa dini yake !cos hata yangu sina uhakika naitekelza kwa kiwango gani !iweje dini ya mtu mwingine kunzia sasa naanza kujichnja menyewe !jamii ni wakristu na waislam! Labda kama unaweza kuja na ushahid wa makubaliano ya wakristo na waislam kuhusu nan achinje! We took it naturally, with respect of others bliefs but inapotokea heshma mtu anaigeuza kuwa amri ndo tatzo linapoanzia! Hatupendi yatokee thats why tunaomba tupate suluhu
Tatizo watu wengi ni Wakristo wa majina hawamjui Mungu wanayemwabudu na neno lake, mfano: Biblia inasema katika Hosea 4:6 "watu wangu waangamizwa kwa kukosa maarifa, kwa kuwa umeyakataa maarifa nami nimekukataa usiwe kuhani." Wakristo mwanzoni hawakujua kwamba siku zote walikuwa wanakula vitu vilivyotolewa sadaka kwa mashetani au miungu mingine. Sasa baada ya Mungu kuwajulisha kwamba uchinjaji kwa Waislamu ni ibada na ndio maana mnyama wakati wa kuchinjwa LAZIMA aelekezwe kibra huko Maka, huwezi kuwalazimisha kuendelea kula vyakula vilivyoungamanishwa na miungu ya kigeni/Nlikuheshimu sana Mkeshaji ! Nimeziona busara zako na nimeondoa shilingi yangu kwenye heshima nliyokuwa nakupatia !
Kwahiyo Waislamu wao kuchinja ni ibada na ni ibada ya mapepo sio ? Hujaondoa tatizo ila umekoleza moto yaani wewe huna tofauti na hao wazee wa CCM -Lumumba wakina nani hiii, hawana suluhisho !
Kwani miaka 50 iliyopita tamaduni hii ya kuchinja ili mule woote ilifanyika kwa watu wa dini gani ? Kwanini haikuwa ni Ibada ya mapepo ila iwe leo ?
Yale yale " Tutahakikisha nchi hii haitawaliki " !
Sasa Tanzania inaelekea wap....?
Bora Mwalimu Nyerere angekuwepo kwasababu alipiga xana vita udini na ukabila. Pia viongozi wa serikal hawatak kuingilia maswala ya Dini