Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,655
- 593
Naskia m
Kuu wa mkoa jana alikwenda kutuliza but wakamkatalia wakasema wanataka kauli ya rais khs masuala haya.leo asb fujo zimeibuka matairi yachomwa moto barabaran,polisi wapiga mabomu,vibaka wapora madukani.....
Watakaokamatwa na polisi watafunguliwa mashtaka gani?