Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 968
- 542
Mamamamamama,umechomwa msikiti,kwani unahusiana nini na kuchinja?! Haya sasa,si ndo mmeanza kuchomeana nyumba za Ibada.Kanisa likichomwa mnalia sana haya sasa mlie sasa msikiti umechomwa kama hamko biased.Mbona hizi virugu kwenye waislam wengi kama Dar hatusikii?Nadhani hapa kipo kinachotafutwa,ni muhimu serikali ikatatua huu mzozo haraka iwezekanavyo.Msikiti una kosa gani kwani ndio unaochinja nyama mpaka ukachomwa.Huku ni kuchezea moto jamani.