Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

Status
Not open for further replies.
Ukweli watu wasiotaka kusema ni kuwa kama Wakristu wakiruhusiwa kuchinja nyama nyingi itakayochinjwa na Waislam itakosa soko. Na hilo ndilo linalowatia kigugumizi Waislam na Viongozi wa Serikali
 
Ukweli watu wasiotaka kusema ni kuwa kama Wakristu wakiruhusiwa kuchinja nyama nyingi itakayochinjwa na Waislam itakosa soko. Na hilo ndilo linalowatia kigugumizi Waislam na Viongozi wa Serikali

Huu ndio ukweli uliopo.
Serikali inatongoza kura chache za waislam. Kwani wengi wao wako Cuf.
 
Muda huu kuna vurugu kubwa inaendelea maeneo ya Tunduma baina ya Wakristo na Waislam..chanzo ikiwa ni suala la kuchinja...Mpaka muda huu magari 8 wamechomwa moto na Msikiti mmoja umeshachomwa moto
 
Wanatunduma kuweni macho msikubali mtu awagawe kwa misingi ya dini .kula kibudu nyumbani kwako wewe na familia yako na sio ulishe watu wengine kwa misingi ya dini we unatengwa na jamii husika ukifiwa hutapata ushirikiano kwa kuwa unakula vibudu .kibudu ni kuchinja bila kufuata taratibu husika zilizomo kwenye jamii .serikali haina dini ila unapokiuka taratibu zilizokubaliwa na wanajamii serikali lazima ikushughulikie kwa kufuata kanuni na taratibu zake .hata wagen wanaotembelea nchini sio wote wanakula vibudu .chinja kula kwako na watoto wako na sio jamii nzima .
 
Hayo ndo matokeo ya Rais dhaifu na serikali,Kikwete alishindwa nini kutolea uamuzi swala la uchinjaji juzi wakati anaongea na wananchi.Kila mtu anahaki ya kuchinja serikali hii haina dini.
 
Haya ni mambo ya kijinga sana yanayonyemelea taifa letu tusipokuwa makini watanzania tutaumizana kwa vitu ambavyo hata mtoto wa darasa la saba wa shule zetu hizi mpya za "K" anaweza kutolea maamuzi. Tunawasomi wamepewa dhamana ya uongozi wanashindwa kutoa uamuzi na kuwajulisha watanzania kuchinja ni jukumu la nani katika nchi hii. sioni tatizo wakati wa mheshiwa raisi mwinyi alisema "ruksa kwa kila mtu kuamua nini ale na nini asile" kuhusu kuchinja ndo tunapata kigugumizi kweli? Ajabu sana kwani miaka yote walikuwa wakichinja akina nani mpaka leo iwe ni shida kuendelea kuchinja waliokuwa wakichinja siku zote hizi toka tupate uhuru?
 
wakati wa mgogoro kati ya Wakristo na Waislamu juu ya mabucha ya Mwembechai serikali kupitia rais by then Mzee Mwinyi ilitoa tamko. (anayetaka kula chura ale, mbwa ale, ng'ombe nk ale - maarufu kama 'rukhsa'). Na hilo lilituliza hali iliyokuwa ikijengeka kabla ya kurejeshwa na hawa wa sasa.
Tofauti na hotuba ya JK juzi ameendeleza mlolongo wake wa kulaumu utadhani naye ni mwananchi kama mimi niliyeko hapa kisiwani Bumbiire!
Hii kwa hakikia imeongeza mgogoro huu ambao ulianza kimasihara na hivyo kuonyesha kuwa kuna jambo nyuma ya pazia linaendelea.
Tanzania eh!
 
Ccm ilianzisha udini sasa kazi kwao.
Hata kama CCM ndio ilianzisha udini, lakini hii ndio njia sahihi ya 'kuiadhibu' hiyo CCM? Wanaoumia, kupotezz mali au hata maisha ni wananchi wa kawaida, ambao wengine hawana maslahi na CCM kabisa. Kwa nini mtu au chama kikianzisha jambo baya watu wengine wakishikilie?
Nakumbuka usemi wa Nyerere kuwa mtu mwerevu akikushauri jambo la kijinga, na wewe ukalikubali, huku akijua kuwa unajua kuwa jambo lile ni la kijinga, atakudharau sana.
Nadhani umefika wakati sasa kwa wananchi kupima na kuacha kufuata ushauri wa kijinga
 
Baada ya maandamano ya kisiasa kushindwa, sasa ni mwendo wa uchochezi wa kidini! Ilimradi NCHI ISITAWALIKE!
 
Kumaliza mgogoro, ziwepo bucha za Wakristu peke yao na waslamu wawe na bucha zao.

Katika mkoa wenye idadi kubwa ya Wakristu kama Mbeya, haiwezekani waslamu walazimishe kuwachinjia nyama Wakristu. Halfu kuchinja kwenyewe ni ibada yao. Yaani akina Mwalaleli ambao kila baada ya nyumba Kanisa washiriki ibada ya mapepo? Haiwezekani asilani.
 
Hao wanao fanya fujo,dawa ni moja tu, peleka polisi piga risasi kama watano halafu ndio watakaa sawa.hakuna cha muislamu wala mkristo,changanya wote.
 
Hawasikii tamko la serikali. Au ni kukosa ving'amuzi
 
Baada ya maandamano ya kisiasa kushindwa, sasa ni mwendo wa uchochezi wa kidini! Ilimradi NCHI ISITAWALIKE!
mi vyema tukutumia kaili zetu kutafuta suluhu ya haya matatizo kila mtu ana imani yake na hili ni suala la imani ambapo bila kutumia busara hatutafika mbali.ombi ni kutatua tatizo kuliko kuanza kulaumiana

hebu sikiliza wimbo wa luckly dube teach the world utatusaidia angalau
 
wakati wa mgogoro kati ya Wakristo na Waislamu juu ya mabucha ya Mwembechai serikali kupitia rais by then Mzee Mwinyi ilitoa tamko. (anayetaka kula chura ale, mbwa ale, ng'ombe nk ale - maarufu kama 'rukhsa'). Na hilo lilituliza hali iliyokuwa ikijengeka kabla ya kurejeshwa na hawa wa sasa.
Tofauti na hotuba ya JK juzi ameendeleza mlolongo wake wa kulaumu utadhani naye ni mwananchi kama mimi niliyeko hapa kisiwani Bumbiire!
Hii kwa hakikia imeongeza mgogoro huu ambao ulianza kimasihara na hivyo kuonyesha kuwa kuna jambo nyuma ya pazia linaendelea.
Tanzania eh!
Kwa kweli unakumbukumbu. Ni kweli alianza na chura.
 
Rais aliruhusu kiaina wakristu kuchinja kwa kuhoji " mbona mabucha ya kitimoto yapo?"
Hila hakutaka kuonyesha yupo upande gani waziwazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom