ukweli hisia hizi zinachochewa na viongozi wa chadema tunduma
Mungu amfanye kila mmoja aamini katika Imani yake.
Eleza vizuri mkuuu!
Hili ni jambo zito kama ni la kweli!
Akili mgando + ubongo wa konokonoukweli hisia hizi zinachochewa na viongozi wa chadema tunduma
Kwa nini hakutuletea imani moja tu?
Nashauri suala la Kuchinja liwekwe kwenye katiba mpya ili kuondoa migogoro na malumbano ya kidini ambayo yanaatarisha amani yetu! Kila raia awe mwanaume au mwanamke aruhusiwe kuchinja.
Maduka yote yamefungwa matairi yanachomwa barabarani, magari ya polisi yanamwagwa mitaani.Chanzo cha vurugu ni mkuu wa wilaya kuzuia wakristu kuchinja na kwamba wanaoruhusiwa ni waislam tu.!!
Mkuu nahisi sio yeye, atakuwa anapokea maelekezo from above.Mkuu wa wilaya wa Tunduma ni mburula! kwa nini hawakataze wakiristo kuchinja! Serikali haina DINI wala dhehebu.
Maduka yote yamefungwa matairi yanachomwa barabarani, magari ya polisi yanamwagwa mitaani.Chanzo cha vurugu ni mkuu wa wilaya kuzuia wakristu kuchinja na kwamba wanaoruhusiwa ni waislam tu.!!
Akili mgando + ubongo wa konokono