Nimeona Jamhuri katika Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu Wamefunga Ushahidi, Kama majaji wakitoa ruling una kesi ya Kujibu kitu ambacho nadra kwa sababu elements za Kosa kwa kiasi kikubwa hazijawa Proved ili uchomoke faster jitetee tuu mambo ya kuanza kuwaita akina Samia, Mwigulu, Majaliwa, Mpango, Kikwete hapo ndiyo mtego upo najua siyo kazi yako Mahakama itatoa Summons ila itakuweka sana Probably another year halafu watasingizia kuwa siyo Jamhuri ni aina ya mashaidi wanaoitwa na mshtakiwa.
View attachment 3651803
VS
View attachment 3651804
External Pressure imekua kubwa Karibu tena Uraini Tundu Lissu
Pro-JPM