Tundu Lissu: Suala la kuongeza muda wa Rais ni ajenda ya Rais Magufuli

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,242
113,618
Bwana Lissu anaongea kwa kujiamini kabisa.

Anaongea kama vile ana uhakika na anachokisema.

Kuwa, eti hii minong’ono ya Rais Magufuli kuongezewa muda, ni ajenda yake yeye mwenyewe Magufuli kupitia kwa wapambe wake.

Natumai ana ushahidi wa anachokisema. La sivyo, ni vibaya sana kwa kiongozi wa hadhi yake kuropoka tu maneno bila ushahidi.

Msikilize mwenyewe hapa kwenye video hii.

 
Bwana mkubwa sijui kwanini siku moja hajitokezi kuwakumbusha wanaopiga kelele za kumtaka aongeze muda wa utawala, kuwa yeye ni muumini wa katiba.

Natamani siku moja awakanye wanaoleta hizi chokochoko. Awaambie waache hayo mawazo na wajikite kwenye ujenzi wa Taifa.... angezima hizi blaablaa kama alivyozima mikutano na shughuli za kisiasa.

Kama alivyowashupalia kwenye chokochoko za hofu ya Corona angewashupalia na hawa wanaomfanya aonekane ana tamaa ya madaraka.

Lakini kukaa kwake kimya inawezekana kuna maana yake. Maana kubwa kuliko tunavyodhani.

Muda hutoa jawabu la mambo mengi, tuombe uzima tuje tushuhudie siri ya ukimya wake.
 
Hili jambo wala halihitaji ushahidi,ni wazi kabisa, Hao wengine wanatumika tu.
Kumbuka yule mbunge wa nkasi,wamemtoa bungeni kimkakati, angalia walioingia sasa, ni zaidi yake,unadhani kuna bahati mbaya hapo
Hivi ni kwa nini walimchomoa?
 
Mbona alishasema mara nyingi kwenye mikutano yake

Alimwambia mzee mwinyi na mbunge Musukuma.

Akasema hataongeza hata dakika?

Mi naona magufuti aendelee ili bwana Lissu aendelee kukaa huko mpaka azeeke aje kama akina Kambona.
 
Haya Pia ni mawazo yako Nyani Sema umetumia mgongo wa Lissu kuwasilisha hili swala.

Ila kwa taarifa yenu Magufuli hana mpango wa kuongeza hata nukta ila wale visabengo pessimists wa
sio na uhakika na utukufu after JPMs regime ndo wanamshawishi.Kwa kuthibitisha hilo JPM amemweka Bashiru kama right hand mtu ambae msimamo wake ni thabiti kuhusu rais kuongeza mda.
 
Back
Top Bottom