Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Nyie walimu endeleeni tu kuisoma number mpaka zifike number za kiyunani nyie ndio mnawaangusha Watanzania kwa kuichagua Ccm tena huwa mnabebwa mpaka kwenye malori
Soma topic yote alafu twende kwa hoja. Sijaomba msaada Mimi Bali ni huruma yangu kwa watumishi...!!!Ni upumbavu wa hali ya juu kudhani kila mtu anaongea theory tu na Practical yake haiwezekani,wewe utakua ni mjinga wa wajinga na maisha yako yote utaishi kwa kudaiwa daiwa na hata wasiofaa kukudai
Kukopa sio dhambi ila una kopa ili ufanyie nini? Niliyemjibu alisema amekopa ili ajenge kibanda sasa kama kajenga kibanda kodi ya chumba unayoitaja hapo inajirudiaje wakati alishajenga kibanda? Usichokijua ni kwamba kuweka akiba sio lazima uwe na Millions of Tshs. Kuweka akiba ni Tabia na mwamko alionao mtu
Take home Laki 3 kuweka akiba huwezi ila bia unakunywa, huo si wehu huo!!
N.B Utumishi wa umma sio kazi ya mwisho kabisa kukuingizia kipato, changamka jiongeze ili uyakwamue maisha yako,otherwise utaendelea kulalamika kila siku
Hatari hiyo , lazima aishi kwa kuungaungaKichwa cha habari chajieleza.
Board ya mkopo ya Elimu Tanzania inawanyanyasa na kuwafedhesha WATUMISHI Wa umaa,kwa Makato ya 15% ,haijalishi umemaliza mwaka gani chuo. Je sheria zinasemaje kuhusu mikataba?
Wanasheria kupitia Tanganyika Laws society (TLS) wasaidieni watumishi Wa umma,hawana watetezi kabisa,si walimu na chama chao,wala chama cha madaktari wote ni waoga kama kunguru.
Kwa mshahara kama Wa huyu mnyonge ataishije mjini? Na atafanyaje kazi?
Basi endelea kuwashauri wakope kope hovyo badala ya kutumia mbinu ya kujiwekea akiba ili kutatua matatizo yao,tusibishane mwisho wa siku kila Mtu ana maisha yake, kama wewe na unaowashauri mnaona njia bora ya kutatua matatizo ni kukopa hapa kukopa pale basi endeleeniSoma topic yote alafu twende kwa hoja. Sijaomba msaada Mimi Bali ni huruma yangu kwa watumishi...!!!
Soma vizuri,hiyo salary slip ya 2015, na sasa ni 2017. Salary kwa sasa 716000 kwa kada ya Elimu na 830000 kwa jeshi hasa police...! Mwenye degree...!! Kwa kutumia hiyo salary slip, mikopo ilikuwa before 15% ya loan board ambao wameanza kukata 15% mwezi Wa 2/2017. Je sheria inasemaje ? Inapotungwa inarudi nyuma au inanzia pale ilipitishwa na kendelea?WEKA SALARY SLIP INAYOSAPOT HOJA YAKO HYO 47000MBOONA SIYO 15% YA MSHAHARA HUO
Usibadili mada please, mimi nilikuwa nahoji uhalali Wa board ya mkopo kumkata MTU 15% badala ya 8% wakati MTU ameanza kukatwa 2012 lakini sheria imepitishwa 2016 inawagalimu hata maliza vyuo miaka ya nyuma.Basi endelea kuwashauri wakope kope hovyo badala ya kutumia mbinu ya kujiwekea akiba ili kutatua matatizo yao,tusibishane mwisho wa siku kila Mtu ana maisha yake, kama wewe na unaowashauri mnaona njia bora ya kutatua matatizo ni kukopa hapa kukopa pale basi endeleeni
Utakuwa unaishi kwa shemeji yako.Napendekeza wakaywe asilimia 30% zipatikane hela nyingi na wrngine wasome. Hili ni deni siyo hisani; mlizoea hela za dili.
Huwezi kuzuia mengineyo kwa ulichokiandika, ulitaka kuonewa huruma kutokana na take home unayosalia baada ya makato yote na kama hoja yako ilikua 15% tu basi hakukua na haja ya Ku attach Salary slip yenye kuonyesha kiasi cha mwisho kabisa anachochukua mlengwa,hata mimi ni muhanga wa 15% ya Bodi ya Mikopo na inaniumiza lakini si kwa kiasi hiko cha mwenye Salary slip uliyoiweka,hilo linalomkuta ni ujinga wa kukopa kopa Taasisi za fedha zaidi ya mmoja ambazo kimsingi zina riba tofauti, hivyo tunampa ushauri next time asirudie kufanya hicho kitu kwani atesekaye si yeye tu bali ni familia kwa ujumlaUsibadili mada please, mimi nilikuwa nahoji uhalali Wa board ya mkopo kumkata MTU 15% badala ya 8% wakati MTU ameanza kukatwa 2012 lakini sheria imepitishwa 2016 inawagalimu hata maliza vyuo miaka ya nyuma.
Ndiyo maana nikaomba TLS Wajaribu kutetea wanyonge.Mimi sio mwanasheria
Siumii kwa maneno ya watu wenye upeo mdogo wa kufikiri like yours kwa sababu majibu yako yanatoa taswira ya akili yako ilipoishia, kuitwa mpumbavu si tusi ila tunakushtua uamke toka sehemu uliyopumbaa ukiendelea kulala ndio unadhihirisha namna ambavyo wenzio tunakuachaHahaa kumbe inauma ikitukanwa? Sasa mbona wewe unaita watu wapumbavu? Pole sana
Ataishi kwa uwekezaji aliouweka kwa hiyo milioni 8 ya NMB,ila kama alinunua gari basi hapo namba za kirumi tu zinasomeka.Kichwa cha habari chajieleza.
Board ya mkopo ya Elimu Tanzania inawanyanyasa na kuwafedhesha WATUMISHI Wa umaa,kwa Makato ya 15% ,haijalishi umemaliza mwaka gani chuo. Je sheria zinasemaje kuhusu mikataba?
Wanasheria kupitia Tanganyika Laws society (TLS) wasaidieni watumishi Wa umma,hawana watetezi kabisa,si walimu na chama chao,wala chama cha madaktari wote ni waoga kama kunguru.
Kwa mshahara kama Wa huyu mnyonge ataishije mjini? Na atafanyaje kazi?
Nashukuru, kwa akili yangu ndogo haikuwa na haja kuikuna akili yako kubwa na kuandika ulicho kiandika. Hata kama umejibu ili kulinda kibarua chako basi punguza kujidhalilisha kwa hoja finyu.Siumii kwa maneno ya watu wenye upeo mdogo wa kufikiri like yours kwa sababu majibu yako yanatoa taswira ya akili yako ilipoishia, kuitwa mpumbavu si tusi ila tunakushtua uamke toka sehemu uliyopumbaa ukiendelea kulala ndio unadhihirisha namna ambavyo wenzio tunakuacha
Kwa taarifa yako mimi sio mtegemezi kwa mume kama mama yako kama girlfriend wako n.k ,15% ya Bodi ya Mikopo inanihusu pia nakatwa na nafahamu kwamba si halali ila hainifanyi nitafute Sympathy ya kuonewa huruma na watu kwa kiji take home kilichobaki, ukweli usemwe punguzeni kukopa kopa hovyo na sio wewe tu Bali mpo wengi wenye tabia hizo,jifunzeni njia mbadala za kukuza kipato permanent badala ya kutatua shida asubuhi jioni Maji ya shingo kama huyo jamaa mwenye hiyo salary slipNashukuru, kwa akili yangu ndogo haikuwa na haja kuikuna akili yako kubwa na kuandika ulicho kiandika. Hata kama umejibu ili kulinda kibarua chako basi punguza kujidhalilisha kwa hoja finyu.
Pia kuwa na huruma kama kweli wewe ni Lady...!! Maana huenda mmeo ameshauza utu wake kupata hivo TV na kismart phone chako ili wewe ukae sebuleni mda wote kwenye Tv na kuchangia nonsense kwenye hoja zinazogusa maisha ya watu..!!!
Kwan mkataba mikopo ulikuwa unataka alipe asilimia ngapSoma vizuri,hiyo salary slip ya 2015, na sasa ni 2017. Salary kwa sasa 716000 kwa kada ya Elimu na 830000 kwa jeshi hasa police...! Mwenye degree...!! Kwa kutumia hiyo salary slip, mikopo ilikuwa before 15% ya loan board ambao wameanza kukata 15% mwezi Wa 2/2017. Je sheria inasemaje ? Inapotungwa inarudi nyuma au inanzia pale ilipitishwa na kendelea?
Sasa ichunguze hyo 47000 vizur he hyo 8% na kama sio 8% kwann ukumwambia tundulisu mapema ili akatw kiwango stahiliNakumbuka 2011 kurudi nyuma ilikuwa 8%
Nimeipenda hii, hili halina ubishi , walitishiaga kugoma cjui waliishia wapi.Walimu na hao wasubili waisome number vielele wa ccm kwanini kanga na sukari zimeisha au subilini uchaguzi ujao tena ili mgawiwe sukari na kanga had I hapo mtakapo hona kuwa nyie ni kweli misukule ya ccm
Swissme