Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,353
Ukumbuke hao watumishi wanalipa kodi sio kwamba hiyo mishahara wanaibeba kama ilivyoserikali kwa mwezi inakusanya around 1.2 trillion, mishahara ya watumishi wa umma ni karibu 650 Billion. yaani nusu ya pato la taifa wanakula watumishi wa umma ambao hawafiki millioni moja. je hii ni haki??