Tundu Lissu sikia kilio cha watumishi wa umma

Somo ninalolipata hapa ni hili hapa:

1. Watumishi wa umma wana imani na Tundu Lissu. Na kwa mara ya kwanza wametambua uwepo wa chama cha wanasheria nchini chini ya Rais Tundu Antipas Lissu (Kichwa).

2. Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu haikuwashirikisha na haiwatendei haki wanufaika (beneficiaries) wa mikopo hiyo. mikopo imegeuka kitanzi kwa wakopoji ambao kimsingi wanapaswa kusomeshwa na serikali yao.

3. Tundu Lissu, kwa vile watu mbalimbali wakiwepo watumishi wa umma, wanakufuatilia na kukuamini fanya uwezalo kutamka angalau neno moja la kisheria juu ya kadhia hii aliyowasilisha huyu mtanzania. Watu wakikuamini na kukuthamini nawe una deni la kuwashukuru na kuwahudumia kwa kadri ya uwezo wako. Sio kama yule tuliyempigia kampeni na kura halafu anatugeuka kwa kusema amefika hapo alipo kwa nguvu zake.
 
[HASHTAG]#mtazamotu[/HASHTAG] Huyo Bwana Sio Mnyonge na wala haoenewi; anajua anacho kifanya (HAISHI KWA KUTEGEMEA MSHAHARA HUYU), Nivyema akamaliza madeni yake ya mikopo haswa NMB na MABOTO; ili kipato chake kirudi katika sehemu yake. :)
Kumbuka kwa mshahara huo bila mkopo KAMWE huwezi jenga japo room 2 ktk maisha yako. fikiri kwanza kabla hujaandika we nyau
 
Hii haiwahusu watumishi wa umma pekee.. inawahusu watumishi wote, serikali hii imegeuka mwiba kwa watumishi hasa waliosomeshwa na bodi ya mikopo..
 
Na ndiyo maana Tanzania imeshika nafasi ya 149 kati ya 159 (Kwa mujibu wa report iliyotolewa na Italia) kuwa ni nchi inaoongoza kwa wananchi wake kuishi bila furaha...ikiwa inafuatiwa kwa karibu na Rwanda ambayo yenyewe imeshika nafasi ya 152 na ndiyo nchi anayotokea Role Model wa mkulu baba...
Mtanzania kama huyu rafiki yangu atakuwaje na furaha kwa mshahara kama huo? ISS ,BOKO haramu, alshabab hawakuzaliwa waitwe hiyo ,ila Un equal division of National cake, unfair decisions and absolutely terminations of human Rights ni mojawapo ya sababu.....!!!
Umasikini unauza utu mkuu.
 
Tena hiyo ni asilimia 8 ya zamani sasa hapo akikatwa asilimia 15 ndio itakuwa balaa maana atakatwa sh.94,500.
 
Mfano mie nianza chuo mwaka 1994/95, na nilitoka kazini na nilikuwa nalipiwa gharama zote na mwajiri wangu.Cha ajabu jina langu lilitoka ETI nadaiwa na Board! nasubiri wakate niende mahakamani aisee, sipendi ujinga!
 
Kichwa cha habari chajieleza.
Board ya mkopo ya Elimu Tanzania inawanyanyasa na kuwafedhesha WATUMISHI Wa umaa,kwa Makato ya 15% ,haijalishi umemaliza mwaka gani chuo. Je sheria zinasemaje kuhusu mikataba?
Wanasheria kupitia Tanganyika Laws society (TLS) wasaidieni watumishi Wa umma,hawana watetezi kabisa,si walimu na chama chao,wala chama cha madaktari wote ni waoga kama kunguru.
d5279fff530fd058ec0f90d383c572ac.jpg

Kwa mshahara kama Wa huyu mnyonge ataishije mjini? Na atafanyaje kazi?
hapo umesahau kukatwa bumu/mkopo wa elimu, wakikata hapo kwa huo mshahara, utabakiwa na shilingi kama sio alfu hamsini basi alfu ishirini ndio utakuwa unaisubiria mwezi mzima, wakati kuna watu wanaenda bar masaa kadhaa wanatumbua yote hiyo laki sita yako. jamaa awaongezee mshahara kwakweli la sivyo watu wataiba tu hata afanyeje.
 
Mtanzania kama huyu rafiki yangu atakuwaje na furaha kwa mshahara kama huo? ISS ,BOKO haramu, alshabab hawakuzaliwa waitwe hiyo ,ila Un equal division of National cake, unfair decisions and absolutely terminations of human Rights ni mojawapo ya sababu.....!!!
Umasikini unauza utu mkuu.
Kabisa Mkuu na ndiyo inanadiwa kuwa ni nchi ya amani ili hali watu wanaishi kama wapo jehanamu na hakuna wakuwasaidia wala kuwasikiliza....Mfano walimu na madaktari wamelia weee mpaka sasa wameamua kukaa kimya wanaonyesha hasira zao kwa vitendo...Walimu ufaulu unazindi kushuka tu...Madaktari mgonjwa wa operation ya Goti wanampasua kichwani......
 
Hii haiwahusu watumishi wa umma pekee.. inawahusu watumishi wote, serikali hii imegeuka mwiba kwa watumishi hasa waliosomeshwa na bodi ya mikopo..
Shukran kwa kushare maumivu MKUU,lakini hii sio janga kwa watumishi tu,hata jamii kwa ujumla....!!!
Wengi wanadhani mtumishi individually ndiye anayedhurika kwa unyanyasaji kama huo Wa board bila kufikilia dependent Wa huyo mtumishi wako wangapi?
Ok ,amidhinisha hayo makato,increments ziendelee na madaraja yapande na ikiwezekana hata uhamisho uruhusiwe....!!! Kama sio udictator ni nini zaidi?
 
unawaambiaje kushughulkia makato bdo ajira na mikopo wanaoendelea na vyuo wamefeli ku-donate
 
Inaonesha walimu mnakopa sana!! Sasa mjitahidi hata kuweka furniture ndani maana Kuna ndugu yangu ni mwalimu yupo kijijini anakalia vigoda
 
MKUU ANDIKA BARUA KWA mWAJIRI WAKO UJITOE KWANZA KWENYE MAKATO YA C.W.T
MKUU,Mimi sio mwalimu ila nimetumia hiyo salary slip kama justification ....! Lakini hata huyo mtu akiandika barua kwa mwajili ili ajitoe cwt itakuwa na unafuu kiasi gani kwa maisha yake? 2% from cwt is nothing to make life sustainable, issue ni boar ya mkopo ifuate sheria za mikataba na Mtukufu kuacha kupitisha mambo bila kuangalia impacts kwa walala hoi
 
Inaonesha walimu mnakopa sana!! Sasa mjitahidi hata kuweka furniture ndani maana Kuna ndugu yangu ni mwalimu yupo kijijini anakalia vigoda
Think as if you're human being, ni kada gani haikopi hapa Tanzania? Kama watumishi Wa bank tu wanamikopo zaidi ya walimu.
Jiulize kwa nini watu wanakopa sana? Kwa kukusaidia tu,mshahara kuwa mdogo ndicho chanzo cha watumishi kuishi kwa mikopo
 
Back
Top Bottom