Kweli Mr IGWE vp kuhusu hili fao mbona wanatuwekea magumashi ukiachishwa kazi una apply NSSF then unakaa miezi sita then baada ya miezi sita unaenda tena NSSF then unaambiwa subiri miezi miwili ndio uje uangalie HUNDI yako kama iko tayari, kwa maan hiyo baada ya kuachishwa kazi unakaa miezi minane ndio unaweza pata NSSF yako. tunaomba wabunge waangalie na hili.Kuna ukwapuaji wa nssf/ppf....no FAO LA kujitoa
Mkwano mie napiga laki na sabini asee baada ya 15%Ni mmojawapo tu kati ya watanzania walio na Elimu za nadhalia,hajui maisha na kupanda kwa vitu na kushuka thaman kwa hela.
Pole sana mkuu, shiriki nasi kupiga kelele na ikiwezekana tupia inbox salary slip zako 2 yaani uliyokuwa unakatwa 8% na 15% ili kusaidia wanasheria kutumia kama ushahidi.Mkwano mie napiga laki na sabini asee baada ya 15%