Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,004
- 103,391
Anzeni kwanza kwenye chama chenu kuwa na chaguzi huru zisizotumia mabavu halafu ndo mtoke nje ya box. We umejinyea halafu unamshangaa aliejamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka siku chaguzi zimefanyika ndani ya cdm kwa mabavu, huenda hujui unaloongea zaidi ya kuwa bendera fuata upepo.