Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Umenukuu kifungu gani ?Naona mnamzamisha kabisa...!
====
Hivi unaelezeaje tukio Chadema la kuhariri wimbo wa Taifa tunu yetu watanzania na waafrika kwa ujumla hiyo jana?
Umenukuu kifungu gani ?Naona mnamzamisha kabisa...!
====
Hivi unaelezeaje tukio Chadema la kuhariri wimbo wa Taifa tunu yetu watanzania na waafrika kwa ujumla hiyo jana?
Msi kuze maneno...Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Wagombea kama hawa ni kuwabana mapema hata kabla ya kampeni hazijaisha.Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Mshaanza makosa ya kitoto mnaedit wimbo wa taifaq
Wagombea kama hawa ni kuwabana mapema hata kabla ya kampeni hazijaisha.
Bado tunaihitaji amani tuliyonayo.
Mimi ni Daby.Walipo mpiga risasi hamkusema chochote zaidi ya kusherehekea
Kuna wananchi wa hizo nyakati??Huyu ndio anafaa kulingana na nyakati tulizonazo leo hii.
MH jamani condition ni kwamba akiibiwa kura .hata kubali.My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Huyu hata nusu ya kura 600,000 za Mbowe za 2005 hatazipata, za slaa 2mil ndiyo kabisaaaaaaaa.Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Ulifurahi?Mimi ni Daby.
Hatupo wengi.
Natoa maoni kama mtu mmoja aliyehuru kabisa. Alipopigwa risasi nilikuwa na mtazamo tofauti kabisa na huu hapa.
Na huo mtazamo hauninyimi kuwa na mtazamo mwingine kumhusu Lissu.
Yah, arudi nyumbani UbelgijiMnataka akiibiwa kura akalale aanze kulia ?
Au mnataka aseme .... naarud nyumbanyi...
Halafu nikisha kupa jibu?Ulifurahi?
Kwani kwao kule mkimbizi huyo aliyepewa kipindi maalum kustay.Yah, arudi nyumbani Ubelgiji
Labda Rais wa ManzeseKwani kwao kule mkimbizi huyo aliyepewa kipindi maalum kustay.
eti leo kuna watu viazi wanazani huyu kiazi mbatata anaweza kuwa rais🙃.
in my dead body
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Umembadilishia kauli... Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Halafu nikisha kupa jibu?