Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,398
- 3,907
Tundu lisu ni mwanasheria mzuri sana anajua lipi ni kosa kisheria na lipi si kosa kisheria
Kama anajua kuwa kufanya maandamano ya shangwe na bashasha wakati wa musiba wa Mzee Mkapa si kosa kisheria basi atagombea Urais wa JMT
Kama anajua kuwa kuidanganya mahakama kuwa hawezi kuhudhuria mahakamani kwa sababu amejiweka karantini na wakati huo hakimu na jaji wa kesi yake anamuona anadunda kwenye mikutano ya hadhari changanyikeni basi asiwe na hofu atagombea urais wa JMT
kama anajua kumtukana kumuondolea heshima amiri jeshi mkuu wa ulinzi na usalama ni sawa basi atagombea urais wa JMT
kama kanuni zinaruhusu kuzunguka mikoani kuhutubia ni halali kisheria na kikanuni asiwe na hofu atagombea urais wa JMT
Kama ni sawa kutotanguliza masilahi ya Taifa mbele kwa kuudanganya umma kwamba serikali haijafanya lolote basi ni sawa atagombea urais wa JMT
kama ni sawa kutojaza fomu zenye tamko za Mali na madeni zako si jinai atagombea urais wa JMT
Tume msiomuonee Tundu Lisu kwa kumkata kama hajatenda kosa na msimuoneee huruma pia kama amekiuka utaratibu kwa mjibu wa sheria na kanuni zenu mkateni bila huruma ila msimuonee
Kama anajua kuwa kufanya maandamano ya shangwe na bashasha wakati wa musiba wa Mzee Mkapa si kosa kisheria basi atagombea Urais wa JMT
Kama anajua kuwa kuidanganya mahakama kuwa hawezi kuhudhuria mahakamani kwa sababu amejiweka karantini na wakati huo hakimu na jaji wa kesi yake anamuona anadunda kwenye mikutano ya hadhari changanyikeni basi asiwe na hofu atagombea urais wa JMT
kama anajua kumtukana kumuondolea heshima amiri jeshi mkuu wa ulinzi na usalama ni sawa basi atagombea urais wa JMT
kama kanuni zinaruhusu kuzunguka mikoani kuhutubia ni halali kisheria na kikanuni asiwe na hofu atagombea urais wa JMT
Kama ni sawa kutotanguliza masilahi ya Taifa mbele kwa kuudanganya umma kwamba serikali haijafanya lolote basi ni sawa atagombea urais wa JMT
kama ni sawa kutojaza fomu zenye tamko za Mali na madeni zako si jinai atagombea urais wa JMT
Tume msiomuonee Tundu Lisu kwa kumkata kama hajatenda kosa na msimuoneee huruma pia kama amekiuka utaratibu kwa mjibu wa sheria na kanuni zenu mkateni bila huruma ila msimuonee