Eeena nzawo
Member
- Jun 1, 2017
- 16
- 12
Nakuelewa brother Lisu, hata mimi sipendi. Ila ni kweli Yanga na ccm mkubwa ni yanga kiumri vumilia.
Nyani Ngabu dancer wa Chriss BrownNyani Ngabu bado hajafika hapa makubwa maana hakuna uzi wa Lissu anaokosa
Nimecheka sana. Ale misosi ya bluu. Na amshauri yule dada Mheshimiwa anayehisiwa kuvuta majani na kuleta timbwili mjengoni aache maana ile kitu ni ya kijani. Yanga mbele kwa mbeleBasi asile mboga za majani, asile fenesi, asile ndizi mbichi/mbivu,asile pilau ya njano,ashindie uji wa ubuyu na ugalii kama alipokuwa mdogo huko isuna.
Nyani Ngabu bado hajafika hapa makubwa maana hakuna uzi wa Lissu anaokosa
Lisu akiwa kilaza, nadhani we utakuwa kilazwaHuyu kilaza mtetea mafisadi, hata rangi ya miti inamkumbusha mabaya??
Yanga wavae magwanda ya chademaYanga iende kwenye yellow and black
Ni kweli hela ya acacia haiwezi kumwacha salamaamelewa hela za acasia. jamaa ruzuku yote ya cdm anakula kwa kesi ndio maana matako mbwata.
Jamaa anasema hata kombe la Yanga lilipoenda bungeni hakulikaribia sababu ya rangi ...hahaaa nadhani ilikuwa utani though
Halafu pia wacheze huku wamevaa miwani za kuchomea welding.Yanga wavae magwanda ya chadema
DuhHalafu pia wacheze huku wamevaa miwani za kuchomea welding.
Kama baba yakoHuyu nahisi atakuwa amekalibia kuchanganyikiwa pesa za wakwepa kod ya acacia hazitamuacha salama huyu jamaa