Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Haijaletwa na ccm lakini inatumiwa na ccm. Ningeshauri ccm mtumie hata zambarauMheshimiwa kwani rangi ya kijani imeletwa na ccm??? Nakupa pole kwa ufinyu wa mawazo
Haijaletwa na ccm lakini inatumiwa na ccm. Ningeshauri ccm mtumie hata zambarauMheshimiwa kwani rangi ya kijani imeletwa na ccm??? Nakupa pole kwa ufinyu wa mawazo
Jamaa anasema hata kombe la Yanga lilipoenda bungeni hakulikaribia sababu ya rangi ...hahaaa nadhani ilikuwa utani though
Ha haaa ndugu hii rangi mbona haikwepeki labda uhamie jangwani maana ugali, wali, ndizi n.k vyote vimetokana na "rangi hiyo".Hata Mimi kwa jinsi ninavyoichukia CCM rangi za kijana nyumbani kwangu nimepiga marufuku.
MWEHUHa haaa ndugu hii rangi mbona haikwepeki labda uhamie jangwani maana ugali, wali, ndizi n.k vyote vimetokana na "rangi hiyo".
Ni kweli mwehuMWEHU
Mimi imhotep umenikumhusba mbali sana ulipotaja pilau ya njano! Naona una-refer binzari!Basi asile mboga za majani, asile fenesi, asile ndizi mbichi/mbivu,asile pilau ya njano,ashindie uji wa ubuyu na ugalii kama alipokuwa mdogo huko isuna.
Japo kuwa mimi sio mjuzi sana kwenye mazagazaga ya viungo lakini pilau ikichochewa viungo haswa binzari inakuwa yanga damu.Mimi imhotep umenikumhusba mbali sana ulipotaja pilau ya njano! Naona una-refer binzari!
wali ukitiwa binzari ya rangi ya njano
Jamaa anasema hata kombe la Yanga lilipoenda bungeni hakulikaribia sababu ya rangi ...hahaaa nadhani ilikuwa utani though
Magufuli anao huoHuyu ndugu yetu Lissu anahitaji matibabu na ni mgonjwa wa Maradhi yanayoitwa PSYCHOPATHY::
What Is Psychopathy?
Psychopathy is among the most difficult disorders to spot. The psychopath can appear normal, even charming. Underneath, he lacks conscience and empathy, making him manipulative, volatile and often (but by no means always) criminal. She is an object of popular fascination and clinical anguish: adult psychopathy is largely impervious to treatment, though programs are in place to treat callous, unemotional youth in hopes of preventing them from maturing into psychopaths.
Jamaa anasema hata kombe la Yanga lilipoenda bungeni hakulikaribia sababu ya rangi ...hahaaa nadhani ilikuwa utani though
Wandishi wa habari mliokuwa mkimuhoji huyu Mwanasheria kihiyo Tundu Lisu ambaye huenda vyeti vyake ni Feki kabisa, mlishindwaje kumuhoji kwanini awe na kalamu ya kijani tena aishikilie kwa tahadhari ya kutoanguka? Kwanini achukie rangi ya kijani, rangi inakosa gani hadi iwe dhambi? Basi aachane na Yanga aende kokote apendako. Yanga hatumtaki mtu mwehu.huyu ndiye mtu wakumwombea siyo yule bwana mwingine
Mimi imhotep umenikumhusba mbali sana ulipotaja pilau ya njano! Naona una-refer binzari!
wali ukitiwa binzari ya rangi ya njano
Hahaha nimecheka kwa Sauti kubwa sana mkuu..Huyu babu uzee unamjia vibaya, unawezaje kuepuka ukijanikijani humu duniani? mboga za majani ni kijani anazila zinakaa tumboni mwake na anazurura nazo mjini, utakuta hata nyumbani kwake kuna maua ambayo ni ya kijani na anaishi nayo, nguvu anayotumia kusema haipendi kijani source yake ni rangi ya kijani kutokana na chlorophill cells kuwezesha mimea kutengeneza chakula kwa photosynthesis na baadae huyu jamaa anapata chakula na kupata nguvu za kwenda kupayuka bungeni.Aache kukariri mambo,kama vipi akusanye mboga za majani azipeleke pale makao makuu ya chama chake zikawekwe rangi ya kaki kama gwanda zao.POINT YANGU NI KWAMBA TUACHE MPIRA UWE MPIRA NA SIASA IWE SIASA. wapo wafia Simba kama kina Haji Manara lakini wakienda chamani kule CCM wanapiga kijani kama kawaida kwa kuwa kila jambo na mahali pake.
Watu wanaboa mkuu,tushirikiane kuweka vichwa vyao sawa.Hahaha nimecheka kwa Sauti kubwa sana mkuu..
Kurupuka and ropokas.....Umeandika vizuri,vipi kuhusu mkuu wa kaya yeye maradhi yake yanaitwaje?