Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
AAAh mama Semamba kumbe wamo kwa kulisaka Rumba, Siasa si ugomvi jamani nikupingana ktk sera na si chuku km walivyomfanyia Tido Mhando
wambie wanamagamba wenzako kwamba watatukoma this time.jamani lisu waperekeni taratib,siunajua mazezeta yale.Sitoacha kuomba muongozo......naomba uwe unanilinda mama
Kumbe mama akiwa nje ya mjengo yuko poa namna hiyo? Sasa kinachompagawisha kiasi hicho akifika mjengono ni nini? Kila saa tu utamskia: Lindu Lisu Kaa chini!!
Haaaaa haaaa! Umenichekesha sana juu ya hilo wigi!Wakuu hivi hilo wigi la huyo mama,limechomelewa kabisa kichwani?
Inawezekana ameomba mwongozo ndio maana hilo koti na "jins" vya Lissu havina ushirikiano!Lisu ameomba muongozo kweli!!? kibao kisijegeuka maana mama hatabiriki
hahahahaha hii kaliWakuu hivi hilo wigi la huyo mama,limechomelewa kabisa kichwani?
Kama wangekuwa hawaingii humu wasingekuwa wanalialia kwamba JF imechangia kuyanyima ushindi Magamba kwenye uchaguzi mkuu, 2010!Hivi hawa viongozi wetu wanaingia humuna kusoma hizi comments ???
nimecheka sana leo. Asante mkuu!Wakuu hivi hilo wigi la huyo mama,limechomelewa kabisa kichwani?
kweli siasa maana yake ni siasa