brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 896
chambua ukweli zaidi juu ya mapinduzi wewe unasema baada ya kujitoa katika utawala wa kisultani lakini huku znz wanasema akupinduliwa mwarabu alipinduliwa mzanzibar tafuta ukweli zaidi juu ya mapinduzi .....na hayo mengine me naona upo sawa tu lakini huku wabongo tunachukiwa sana