Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Hii kwa kweli ni mpya huyo wa system ameongezea mengi tu ambayo hayakuwepo.
Mkuu amini nakuambia, mimi nafahamu Mengi zaidi ya hapa! Hata Karume hakuuawa kwa sababu za kisiasa.
Hii kwa kweli ni mpya huyo wa system ameongezea mengi tu ambayo hayakuwepo.
Sababu za Humudi kumuua father K nimeeleza hapo juu.
Kuhusu wake zake kwa ninaowakumbuka mimi ni kama wafuatao:
1. Fatma Karume mama yao Amani na Ali
2. Moza Nassor (marehemu) kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
3. Nasreen (muhindi ithnasheri) wa Unguja mama yake Ahsa Karume
4. Fadya (muarabu) wa Unguja mama yake Asha Karume
5. Helemu (muarabu) wa Wete Pemba mama yake Ahadi Karume.
Inasemekana huyu first lady alikuwa tayari amepewa talaka ila hakuna uthibitisho.
Mkuu amini nakuambia, mimi nafahamu Mengi zaidi ya hapa! Hata Karume hakuuawa kwa sababu za kisiasa.
Mkuu Binti Mkwengwe, asante kwa taarifa hii ila inatofautiana na taarifa za awali, nimelituma hili jibu kule kunakohusikaSababu za Humudi kumuua father K nimeeleza hapo juu.
Kuhusu wake zake kwa ninaowakumbuka mimi ni kama wafuatao:
1. Fatma Karume mama yao Amani na Ali
2. Moza Nassor (marehemu) kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
3. Nasreen (muhindi ithnasheri) wa Unguja mama yake Ahsa Karume
4. Fadya (muarabu) wa Unguja mama yake Asha Karume
5. Helemu (muarabu) wa Wete Pemba mama yake Ahadi Karume.
Inasemekana huyu first lady alikuwa tayari amepewa talaka ila hakuna uthibitisho.
Sababu za Humudi kumuua father K nimeeleza hapo juu.
Kuhusu wake zake kwa ninaowakumbuka mimi ni kama wafuatao:
1. Fatma Karume mama yao Amani na Ali
2. Moza Nassor (marehemu) kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
3. Nasreen (muhindi ithnasheri) wa Unguja mama yake Ahsa Karume
4. Fadya (muarabu) wa Unguja mama yake Asha Karume
5. Helemu (muarabu) wa Wete Pemba mama yake Ahadi Karume.
Inasemekana huyu first lady alikuwa tayari amepewa talaka ila hakuna uthibitisho.
sasa NDUGU BINTI WA SIKU NYINGI HEBU TUELEZE HUYO ALIYEPEWA TALAKA ALIKUWA MKEWE AU TAYARI ILISHAKUWA HARAMU ? KAMA VIPI ANYANG'ANYWE HAKI ZOTE TULIZOMPA .
........ Pasco kuna ubaya gani kwani siku ukimwona Anna Mkapa ameshiriki shindano la BIBI BOMBA?
. Pasco kuna ubaya gani kwani siku ukimwona Anna Mkapa ameshiriki shindano la BIBI BOMBA?
Sababu za Humudi kumuua father K nimeeleza hapo juu.
Kuhusu wake zake kwa ninaowakumbuka mimi ni kama wafuatao:
1. Fatma Karume mama yao Amani na Ali
2. Moza Nassor (marehemu) kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
3. Nasreen (muhindi ithnasheri) wa Unguja mama yake Ahsa Karume
4. Fadya (muarabu) wa Unguja mama yake Asha Karume
5. Helemu (muarabu) wa Wete Pemba mama yake Ahadi Karume.
Inasemekana huyu first lady alikuwa tayari amepewa talaka ila hakuna uthibitisho.
Mkuu Rich Pol kwa kamba, nimekukubali!
Katika watu ninaowaheshimu hapa jf ni pamoja na wewe Kiranga. Taarifa niliyonayo ni kuwa hiyo historia wamei-spin
hatutaki kupotoshwa nimekuwa nikisema lissu ni mpotoshaji watu wamekuwa hawanielewi´.....mikutano mingi ya hadhara lisu huwa anaseña si muumini wa mwalimu,kampeni zake,na hata ndani ya bunge na juzi bunge la katiba...kwasababu anachukia villagelization sasa hata kama yeye hapendi si busara kuendelea kupotosha uma....nitampinga lissu hadi kifo changu kwa sababu ni mchochezi na mtu asie na mapenzi mema na taifa letu.
Ndio Ndoto za mwisho za watumwa wa waaarabu.Na waarabu nao wanaonekana hawakumpenda wala mbegu yake.huko kutozaa kunaweza kuwa ni makusudi.Hii inaonyesha failure ya kifikra ya hawa jamaa.duh hiyo list hapo naona mzee karume alikuwa anapenda zaidi watoto wa kiarab tu...
Mkuu Mzito K, the motive behind Bibi Bomba ilikuwa ni kushindania kupata TZS 1,000,000!. Ukisikia Mama Mkapa anaingia kwenye shindano la urembo wa uzee kutafuta 1M!, lazima ujiulize?, ndipo nikatoa taarifa hii,[h=3]Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds![/h] kisha nikauliza hivi [h=3]Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake Wangapi?.[/h]Pasco kuna ubaya gani kwani siku ukimwona Anna Mkapa ameshiriki shindano la BIBI BOMBA?
Mkuu hivi kwa nini wasimrudishe uraiani huyu mzee? Kwani kosa gani kubwa alilofanya zaidi ya hawa mafisadi wanaotamba uraiani hadi wanataka kugombea Urais?Siyo BAN ya kuongea tu bali histoia yake yote imefutwa na wala hayumo miongoni mwa marais wastaafu.Hiyo ndiyo ccm bana.
Kiranga na Pasco na FaizaFoxy, kwa nini sasa mzee Jumbe harudishwi uraiani na harudi kwao? Kigamboni ndio amefika hapo hadi mauti imfike?Mkuu Mzito K, the motive behind Bibi Bomba ilikuwa ni kushindania kupata TZS 1,000,000!. Ukisikia Mama Mkapa anaingia kwenye shindano la urembo wa uzee kutafuta 1M!, lazima ujiulize?, ndipo nikatoa taarifa hii,[h=3]Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds![/h] kisha nikauliza hivi [h=3]Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake Wangapi?.[/h]
Kwanza nilijibiwa 3, kisha nikajibiwa 5, kisha 6, nikichuja kwa majina yote yaliyokuja nilipata hesabu ya 8 na hapo ndipo angalau unaweza kuelewa kwa nini mke wa rais adhalilike kusaka TZS.1M!.
Pasco
Mkuu Binti Mkwengwe, asante kwa taarifa hii ila inatofautiana na taarifa za awali, nimelituma hili jibu kule kunakohusika
Asante.
Pasco
Hivi huyo mheshimiwa si bado yuko hai,kwa nini hapewi fursa ya kuelezea mtazamo wake hadharani?Ningejisikia faraja siku moja akihojiwa na wanahabari juu ya kilichotokea hata akapewa "life ban".