Tundu Lissu na Aboud Jumbe

Tundu Lissu na Aboud Jumbe

hatutaki kupotoshwa nimekuwa nikisema lissu ni mpotoshaji watu wamekuwa hawanielewi´.....mikutano mingi ya hadhara lisu huwa anaseña si muumini wa mwalimu,kampeni zake,na hata ndani ya bunge na juzi bunge la katiba...kwasababu anachukia villagelization sasa hata kama yeye hapendi si busara kuendelea kupotosha uma....nitampinga lissu hadi kifo changu kwa sababu ni mchochezi na mtu asie na mapenzi mema na taifa letu.
Nitakupinga wewe hadi ........ kwa kuwa wewe ni mchochezi na mnafiki.
 
Karume senior kauawa kwa umajununi wake, wala si habari za siasa.

Kamuua baba yake Humudi halafu kampa Humudi cheo kwenye intelligentsia.

Humudi akampigilia risasi mbali kwenye kikao cha bao.
Sii wengi wanaozungumzia sababu ya Karume kumuua baba yake Humudi, ila habari zisizothibitishwa zinaeleza kuwa Baba yake Hamud ni asili ya Kiarabu, Karume akamhitaji binti yake aolewe kinguvu na mmatumbi, Baba Mtu akagoma, Karume akamuua Baba na kumtwaa binti kinguvu, akamuoa, akamzalisha kisha kumtelekeza!,hivyo Hamudi alikuwa ni shemeji yake Karume!.

Niliwahi kusikia mama mmoja akihojiwa Clouds alijitaja yeye ni mke wa rais, niliuliza humu, [h=3]Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.[/h]Wanzanzibar, hawakujibu chochote.

Baadaye nikasoma mahali humu humu jf kuwa Karume alikuwa na wake 6!, nikauliza humu [h=3]Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6?!, sikujibiwa!.[/h]Pasco
 
Kwa kuwa hajaanza kuwashughulikia tunaomba elimu yako
Mimi nimesoma sana mpaka nimefika darasa la 7 enzi za UPE, nilipasi ila sikuchaguliwa kuendelea fomu wani, hivyo nikaishia daasa la saba!, na hiki ndicho kiwango halali cha elimu kwa Tanzania!.
Pasco
 
Yaonekana wengine ni wadogo Sana kiumri ama huwa hamfuatilii mambo ya kisiasa nchini.

Mzee Aboud Jumbe hajawahi kuzuiwa kuongea na Wanahabari, Bali amejiweka mwenyewe nje ya siasa, muda mwingi anajikita katika mambo ya dini Kama ilivyokuwa kwa swahiba wake Bashiru Kwaw Swanzy.

Ametoa Vitabu viwili kuhusu hilo sakata lake:
1. The Partnership: 30 Turbulent Years of the Tanganyika Zanzibar Union - Kitabu ambacho mwandishi Ally Saleh 'Al-bato' (aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Warioba) amekitafsiri kwa lugha ya Kiswahili. Kitabu hicho kilitoka mwaka 1994.

2. Tuishi bila kubaguana kidini - Hiki pia kimetoka miaka ya 90 mwishoni, na nadhani kwa undani humu ndo amechambua kuhusu nini kilitokea mpaka akajiuzulu.

*Pia kuna mswada wa Kitabu cha Jumbe ambacho kiliandikwa na Profesa Haroub Othman, makubaliano ni kuwa kitabu husika hakikupaswa kutoka mpaka Jumbe afe. Bahati mbaya Haroub ametangulia_ mapema zaidi, lakini bado mswada husika Uko chini ya familia ya Profesa Haroub.

*Katika Kitabu "Race, Revolution & Strrugle for Human Rights in Zanzibar: Memoirs of Ali Sultan Issa and Maalim Seif Shariff Hamad" Maalim Seif naye amelielezea hilo sakata.

*Mwaka 2007 kada wa CCM aitwaye nchimbi aliandika mfululizo wa Makala katika Gazeti la Mwananchi akiuita "Machozi ya Jumbe" mfululilo ambao ulijibiwa na Ismail Jussa (aliyekuwa msaidizi wa Maalim Seif wakati Huo). Mkipata hivyo maswali yenu yatajib__iwa.

Eid Mubarak

we unachekesha kama kweli hajawekews vikwazo kigamboni ndiko alikozaliwa? amekwenda kuishi pale kwa matakwa yake. Acha fikira mgando
 
Karume senior kauawa kwa umajununi wake, wala si habari za siasa.

Kamuua baba yake Humudi halafu kampa Humudi cheo kwenye intelligentsia.

Humudi akampigilia risasi mbali kwenye kikao cha bao.

Sheikh Thabit Kombo Jumaa akaambulia za mguu. Mpaka anafariki alikuwa anachechemea kutokana na risasi za Humudi siku aliyouawa Karume.

Karume was Nyereres man, therefore was at no.risk of being ousted politically. Kwa sababu Zanzibar (angalau Unguja, Pemba is another matter) alikuwa na support na bara alikuwa na support.

Kama hivyo ndivyo ilikuwaje baada ya kupigwa risasi wanajeshi waliokuja kuuondoa mwili wake ni wale waliopaswa kuwa huku bara? Walitoka wapi kule unguja kwenye tukio hilo?
 
nimemsikia shujaa tundu lissu mara kwa mara akihusisha muungano na kuwekwa kizuizini aboud jumbe.

Eti nyerere, mwasisi wa ccm ndie aliyempiga ban mzee jumbe.
mohamed said na yericko nyerere na pasco naombeni mje hapa tuungane na wadau wengine tuwekewe ukweli huu hasa kwa kizazi cha 1980's ambao wengi hawajui nini kilitokea kwa jumbe na kwa nini tundu lissu ameishikia bango sana hiyo

kumjadili kichaa ni zaidi ya uchizi.
 
Last edited by a moderator:
Kama hivyo ndivyo ilikuwaje baada ya kupigwa risasi wanajeshi waliokuja kuuondoa mwili wake ni wale waliopaswa kuwa huku bara? Walitoka wapi kule unguja kwenye tukio hilo?

Habari hiyo umeipata wapi na ina uhakiki gani?

Isitoshe, hata ikiwa kweli siwezi kushangaa, kwani Zanzibar haina jeshi, moja ya sababu iliyomfanya Karume akubali kirahisi sana muungano na bara. Na Karume hakuiamini sana intelligentsia ya usalama ya Zanzibar, ambayo.ndiyo hiyo ya kina Mahfudh / Humudi. Ilijaa makomredi waliosoma nchi za kikomunisti ambao walimuina Karume kama dikteta ambaye si msomi na hafai kuwa rais.

Kwa hiyo siwezi kushangaa kama wanajeshi wa bara walitumika in a forensic way, kupreserve evidence etc. Kwa sababu wa Zanzibar ndio hao waliomuua na hawakuaminika.

Zanzibar inategemea strategic military support kutoka bara mpaka kesho.

That's why unakuta watu kama kina Brigedia Mwakanjuki wamelowea huko miaka na miaka.
 
Kwa kifupi tu, Jumbe alikuwa anauhoji muungano, akawa anatayarisha namna ya kumuingia Nyerere kuhusu Zanzibar kuwa na madaraka zaidi kwa mujibu wa matakwa ya Wazanzibari, wakati anaandaa makaratasi yake, sekretari wake akayaona na kumtaarifu Seif Sharif Hamad. Seif akamtuma Sekretari wa Jumbe kuiba makaratasi yake na kumpelekea Nyerere. Nyerere akambana Jumbe na kumlazimisha kujiuzulu.

The details and narrative varies according to different sources, but that is the main story.

Ndiyo maana mpaka leo kuna vikao vya Seif Sharif na Nyerere havijulikani walizungumza nini.

Ndiyo maana Tundu Lissu anapenda kumtumia Jumbe kama shujaa aliyediriki ku question uongozi wa Nyerere kuhusu Muungano.

Mkuu issue yenyewe ni kwamba: Abdul Jumbe wakati Yuko madarakani, kama Rais wa Zanzibar na makamu wa rais ya Tanzania, alichapisha pesa, bendera za serikari ya mapinduzi Zanzibar, kisha akaenda UK akamwambia waziri mkuu Kuwa Tanzania bara inampango wa kuivamia Zanzibar na kuikalia kwa nguvu akaomba na msaada! Waziri akamuahidi kutuma jeshi kama itatokea kama ilivyofanya UK jeshi letu lilipoasi,
Aliporudi huku akamwambia Ml. Nyerere Kuwa kuna fununu kuna jeshi linataka kuivamia Zanzibar! Inahitaji ulinzi, Nyerere akatuma jeshi na vifaru Zanzibar kwa ulinzi,
Baada ya majeshi kujipanga Jumbe akapiga simu kwa Waziri mkuu wa UK Kuwa Yale aliyomwambia yametimia, UK haikufanya pupa, PM akampigia simu Nyerere kumuuliza sababu ya kuivamia Zanzibar na kuikalia kwa mabavu, Nyerere akashanga ndiyo ilibidi wakutanishwe ukweli ujulikane, ndiyo Jumbe akaonekana mchonganishi, kwa heshima yake akaombwa ajiuzuru na kukaa pembeni, Seif S Hamad alikuwa anauma huku na kule kwa lengo la kuchukua madaraka ya Jumbe ndiyo Rungu likamwangukia, na Urais wa Zanzibar ukamwangukia Alli Hassan Mwinyi kwa kipindi mpaka uchaguzi baada ya hapo akagombea bara na hatimae Kuwa rais wa Tanzania,
Kama mlisikia machafuko ya Zanzibar ndiyo hayo, hata UK wanalijua lililomwondoa Jumbe na kumuweka pembeni kisiasa.
 
Sii wengi wanaozungumzia sababu ya Karume kumuua baba yake Humudi, ila habari zisizothibitishwa zinaeleza kuwa Baba yake Hamud ni asili ya Kiarabu, Karume akamhitaji binti yake aolewe kinguvu na mmatumbi, Baba Mtu akagoma, Karume akamuua Baba na kumtwaa binti kinguvu, akamuoa, akamzalisha kisha kumtelekeza!,hivyo Hamudi alikuwa ni shemeji yake Karume!.

Niliwahi kusikia mama mmoja akihojiwa Clouds alijitaja yeye ni mke wa rais, niliuliza humu, [h=3]Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.[/h]Wanzanzibar, hawakujibu chochote.

Baadaye nikasoma mahali humu humu jf kuwa Karume alikuwa na wake 6!, nikauliza humu [h=3]Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6?!, sikujibiwa!.[/h]Pasco

umeingilia suna za mtume!
 
Umeandika kiudaku udaku sana ingawa ujumbe umefika. Hii historia imeandikwa wapi?

Kabisa siyo kiudaku hiyo inaeleweka kwa wale wazanzibari wenye age kama yangu ambao walikuwa part ya hiyo historia (nilikuwa form two). Scenarios za Humudi kumuua father K zilikuwa zinaelezwa kwenye ile kesi ya uhaini ambayo ilichukuwa muda mrefu na TVZ ilikuwa inaitangaza kila siku (of course siyo live).

Baba yake Humudi alimuua aliyekuwa Chief Inspector wa Polisi Zanzibar (nadhani sawa na IGP) kutokana na kupingana katika siasa. Jina lake akiitwa Sultan Ahmed Mugheir. Wakati ule wa ukoloni wa muingereza yule mzee alionekana kutokuwa na hatia (sina uhakika wa sababu kamili zilizomfanya asamehewe). Baada ya Mapinduzi father K akafufua kesi ile na baba yake Humudi akahukumiwa kifo. Na hapo ndipo issue ya kulipiza kisasi ilipoanza.

Na stori yake ndefu ilitoka kwenye gazeti la drum (enzi zileeee) mimi mwenyewe niliisoma na hata picha zake na familia yake zilitolewa.
 
Mkuu issue yenyewe ni kwamba: Abdul Jumbe wakati Yuko madarakani, kama Rais wa Zanzibar na makamu wa rais ya Tanzania, alichapisha pesa, bendera za serikari ya mapinduzi Zanzibar, kisha akaenda UK akamwambia waziri mkuu Kuwa Tanzania bara inampango wa kuivamia Zanzibar na kuikalia kwa nguvu akaomba na msaada! Waziri akamuahidi kutuma jeshi kama itatokea kama ilivyofanya UK jeshi letu lilipoasi,
Aliporudi huku akamwambia Ml. Nyerere Kuwa kuna fununu kuna jeshi linataka kuivamia Zanzibar! Inahitaji ulinzi, Nyerere akatuma jeshi na vifaru Zanzibar kwa ulinzi,
Baada ya majeshi kujipanga Jumbe akapiga simu kwa Waziri mkuu wa UK Kuwa Yale aliyomwambia yametimia, UK haikufanya pupa, PM akampigia simu Nyerere kumuuliza sababu ya kuivamia Zanzibar na kuikalia kwa mabavu, Nyerere akashanga ndiyo ilibidi wakutanishwe ukweli ujulikane, ndiyo Jumbe akaonekana mchonganishi, kwa heshima yake akaombwa ajiuzuru na kukaa pembeni, Seif S Hamad alikuwa anauma huku na kule kwa lengo la kuchukua madaraka ya Jumbe ndiyo Rungu likamwangukia, na Urais wa Zanzibar ukamwangukia Alli Hassan Mwinyi kwa kipindi mpaka uchaguzi baada ya hapo akagombea bara na hatimae Kuwa rais wa Tanzania,
Kama mlisikia machafuko ya Zanzibar ndiyo hayo, hata UK wanalijua lililomwondoa Jumbe na kumuweka pembeni kisiasa.

Mkuu hii umeitoa wapi?
 
Kama hivyo ndivyo ilikuwaje baada ya kupigwa risasi wanajeshi waliokuja kuuondoa mwili wake ni wale waliopaswa kuwa huku bara? Walitoka wapi kule unguja kwenye tukio hilo?

Waliokuwa bara wapi na ni akina Ali Mahfudh ndiyo waliosimamia kuondoa mwili wa Humudi? I wish zile cassettes za ile kesi zingehifadhiwa maana pale waliongelea mambo mengi sana wakati wa mahojiano.
 
Sii wengi wanaozungumzia sababu ya Karume kumuua baba yake Humudi, ila habari zisizothibitishwa zinaeleza kuwa Baba yake Hamud ni asili ya Kiarabu, Karume akamhitaji binti yake aolewe kinguvu na mmatumbi, Baba Mtu akagoma, Karume akamuua Baba na kumtwaa binti kinguvu, akamuoa, akamzalisha kisha kumtelekeza!,hivyo Hamudi alikuwa ni shemeji yake Karume!.

Niliwahi kusikia mama mmoja akihojiwa Clouds alijitaja yeye ni mke wa rais, niliuliza humu, Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

Wanzanzibar, hawakujibu chochote.

Baadaye nikasoma mahali humu humu jf kuwa Karume alikuwa na wake 6!, nikauliza humu Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6?!, sikujibiwa!.

Pasco

Sababu za Humudi kumuua father K nimeeleza hapo juu.

Kuhusu wake zake kwa ninaowakumbuka mimi ni kama wafuatao:
1. Fatma Karume mama yao Amani na Ali
2. Moza Nassor (marehemu) kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
3. Nasreen (muhindi ithnasheri) wa Unguja mama yake Ahsa Karume
4. Fadya (muarabu) wa Unguja mama yake Asha Karume
5. Helemu (muarabu) wa Wete Pemba mama yake Ahadi Karume.

Inasemekana huyu first lady alikuwa tayari amepewa talaka ila hakuna uthibitisho.
 
"Kama kuna watu wanasema kuwa Zanzibar sio nchi, basi wasiishie hapo. Waeleze jee Zanzibar ni Mkoa, au ni Wilaya, au ni kijiji au ni kitongoji?" by Seif Sharif Hamad ... Huyu Jamaa kwa kurusha Ngumi Jiwe ni Hodari kweli kweli ...
 
Back
Top Bottom