Kwa kifupi tu, Jumbe alikuwa anauhoji muungano, akawa anatayarisha namna ya kumuingia Nyerere kuhusu Zanzibar kuwa na madaraka zaidi kwa mujibu wa matakwa ya Wazanzibari, wakati anaandaa makaratasi yake, sekretari wake akayaona na kumtaarifu Seif Sharif Hamad. Seif akamtuma Sekretari wa Jumbe kuiba makaratasi yake na kumpelekea Nyerere. Nyerere akambana Jumbe na kumlazimisha kujiuzulu.
The details and narrative varies according to different sources, but that is the main story.
Ndiyo maana mpaka leo kuna vikao vya Seif Sharif na Nyerere havijulikani walizungumza nini.
Ndiyo maana Tundu Lissu anapenda kumtumia Jumbe kama shujaa aliyediriki ku question uongozi wa Nyerere kuhusu Muungano.