TUNDU LISSU: Kwa uzito wa msiba wa MANDELA barani AFRIKA kwa nini BUNGE lisiahirishwe?

Kama Rais ametangaza siku 3 za msiba na bendera kupepea nusu mlingoti, sioni kama ingekuwa vigumu kuahirisha bunge kwa siku moja kwa ajili ya maombolezo unless kama maombolezo aliyoyatangaza Rais ni ya kiusanii.

Tiba
 
Ukombozi gani mnaouzungumzia wa Mandela ??? Hivi na leo Mandela amekuwa mkombozi wa bara la Afrika ,msitafute umaarufu kupitia Mandela ,ama kweli kama hujui kuogelea na unazama basi lazima utakamata maji ,ndio ya Lisu !
 
Makinda Ana Nidhamu Ya Woga, Mlo Kuwapo Ati Katoa Sababu Gani Kumpinga Lissu?? Sipati Picha Ange Simama Lukuvi! Na Kutoa Hoja Kama Hiyo!
 
Serikali inapotangaza maombolezo huwa inamaanisha nini? na tunawezaje kujua ni shughuli zipi zinatakiwa zifanyike na zipi zisifanyike kiserikali?
 
Serikali inapotangaza maombolezo huwa inamaanisha nini? na tunawezaje kujua ni shughuli zipi zinatakiwa zifanyike na zipi zisifanyike kiserikali?

Shughuri Zote Za Serikari Uhailishwa, Iwe Serikari Kuu, Bunge Ama Mahakama TATIZO MAKINDA NI MZEE SANA!,
 
Tundu alipaswa ajifunze kusamehe kutoka kwa Tata Madiba. Yeye na viongozi wake watumie siku tatu za maombolezo kujifunza comlade Madiba aliwezaje kuishi na watu waliompinga, kumtesa, kubagua, kutesa na kuua wafuasi wake.
Hii itawasaidia kuishi na wasaliti, wasio wa kaskazini na wasio chadema na maisha yakaenda poa.
 
Shughuri Zote Za Serikari Uhailishwa, Iwe Serikari Kuu, Bunge Ama Mahakama TATIZO MAKINDA NI MZEE SANA!,
Sio Kweli acha kupotosha Umma Maombolezo sio Kuahirishwa kwa majukumu ya serekali? Wakati wa Nyerere Maombolezo yalikua ya siku kumi na nne je serekali ilihairisha kazi zake kwa siku 14. Maombolezo sio lazima iwe mapumziko
 
Mheshimiwa Tundu Lissu ameomba mwongozo huo kwa spika Makinda ili bunge liahirishwe japo kwa leo kwa ajili ya maombolezo ya Mandela ambaye ni kielelezo kikubwa cha kiongozi aliyetukuka barani Afrika kwa mchango wake katika harakati za ukombozi. Hata hivyo spika hakukubaliana na hoja ya Tundu Lissu na kuruhusu bunge liendelee kama kawaida.

Hizi ni akili MATOPE, halafu Wabunge waende msibani au kula Nyama ya MBUZI AREA C na kule CHAKO NI CHAKO.
 
Tundu alipaswa ajifunze kusamehe kutoka kwa Tata Madiba. Yeye na viongozi wake watumie siku tatu za maombolezo kujifunza comlade Madiba aliwezaje kuishi na watu waliompinga, kumtesa, kubagua, kutesa na kuua wafuasi wake.
Hii itawasaidia kuishi na wasaliti, wasio wa kaskazini na wasio chadema na maisha yakaenda poa.

Kweli Kabisa. Hili ni SOMO kwa wapenda visasi kama akina ZITTO na MBOWE.
 
Tundu alipaswa ajifunze kusamehe kutoka kwa Tata Madiba. Yeye na viongozi wake watumie siku tatu za maombolezo kujifunza comlade Madiba aliwezaje kuishi na watu waliompinga, kumtesa, kubagua, kutesa na kuua wafuasi wake.
Hii itawasaidia kuishi na wasaliti, wasio wa kaskazini na wasio chadema na maisha yakaenda poa.

Jamaa comlade ndio nini?
Isamehe kwanza akili yako
 
Sio Kweli acha kupotosha Umma Maombolezo sio Kuahirishwa kwa majukumu ya serekali? Wakati wa Nyerere Maombolezo yalikua ya siku kumi na nne je serekali ilihairisha kazi zake kwa siku 14. Maombolezo sio lazima iwe mapumziko

Wewe hukumuelew huyo mrithi wa ZITTO(LISSU) alikuwa na maana leo wasikae kabisa kikao, sasa sijui ataenda bondeni au atakwenda CHAKO ni CHAKO kula nyama ya mbuzi. TATIZO LISSU anapenda sana sifa.
 
Kwani Chadema kuna mtu mmoja tu Tundu Lissu, si yupo Mbowe, Sugu, Lema, Mnyika, Wenje, vipi hawa hauamini.

Hoja hii ingetolewa na mbunge wa chama cha mavi, bi kiroboto angeikubali.
 
Back
Top Bottom