TUNDU LISSU: Kwa uzito wa msiba wa MANDELA barani AFRIKA kwa nini BUNGE lisiahirishwe?

Madiba n kielelezo kikubwa kwa demokrasia Afrika

lissu,aliongea kitu cha busara sana
sema siasa za ccm,n ushenz mtupu
 
Mheshimiwa Tundu Lissu ameomba mwongozo huo kwa spika Makinda ili bunge liahirishwe japo kwa leo kwa ajili ya maombolezo ya Mandela ambaye ni kielelezo kikubwa cha kiongozi aliyetukuka barani Afrika kwa mchango wake katika harakati za ukombozi. Hata hivyo spika hakukubaliana na hoja ya Tundu Lissu na kuruhusu bunge liendelee kama kawaida.

Uvivu tu wa Kitanzania. Inahusu nini kuahirisha bunge? Makinda sawasawa, atakae kuomboleza akaomboleze kwa muda wake si muda wa kazi.
 
Sio Kweli acha kupotosha Umma Maombolezo sio Kuahirishwa kwa majukumu ya serekali? Wakati wa Nyerere Maombolezo yalikua ya siku kumi na nne je serekali ilihairisha kazi zake kwa siku 14. Maombolezo sio lazima iwe mapumziko

Haya Nijibu Maswali Japo Moja Kati Ya Haya 1. Wakati Wa Msiba Wa Nyerere Jaji Mkuu Aliweza Kusoma Kesi Yoyote Pale Mahakamani? 2.wakati Wa Maombolezo Ya Mwalimu, Bunge Liliweza Kuketi Na Kupitisha Muswada? 3. Wakati Wa Maombolezo Ya Mwalimu Raisi Aliweza Kusafiri Na Kuelekea Nje Kusaini Mkataba? Sijapotosha Umma Sema Kunashughuri Hufanyika Lakini Bila Kukiuka Amri Ya ''KUHAIRISHA SHUGHURI ZOTE ZA SERIKARI" Shughuli Zote Za Kihoisi Husimama. Tambua Pia Kuwa Ofisi Ya Waziri Haiwezi Kuwa Chafu Ati Kwa Kuwa Ni Maombolezo, Fikiri Na Kama Akili Haitaki Basi Ilazimishe Kufikiri!
 
Kuna Rafiki Yangu Wa Umri Wa Makamo Alikuwa Akinituliza Kuwa Nisitoke Chadema Wakati Wa Sakata La Zitto Aliniambia Kuwa BAADHI YA WATU WA KIGOMA NI WABAYA SANAAAA! Ugua Pole Kamanda!
 
Kwani Chadema kuna mtu mmoja tu Tundu Lissu, si yupo Mbowe, Sugu, Lema, Mnyika, Wenje, vipi hawa hauamini.

yeye ni waziri kivuli wizara ya katiba na sheria, na muswada uliokuwa mezani unamhusu. Pia kulingana na uzoefu wake ktk nyanja hii, kukosekana kwake ni pengo kubwa. Ndio maana hata spika amekiri kwamba wamemmis sana.
 
kachanganyikiwa-hali inayomkuta SLAA mikoani inaashiria kifo cha CDM-vyombo vya habar ambavyo wamekuwa wakifurahia mabadiliko ya siasa yaliyokuwa yakiongozwa na CDM nao sasa wamegundua kuwa ile ni SACCOS na wamepoteza imani na sasa wana wa- blast na sasa anafikiria mikakati yao ya kumngo'a ZZK(kipenzi cha wanyonge-mkataa posho za kukaa) ilivyokwama pamoja na kumbambikizia shutuma kibao kwa uroho wao wa madaraka-na sasa anafikiria yale makosa 11 aliyoyaandika kwa kujinasibu ambayo utadhani yameandikwa WP(Women Police) 123 wa kituo cha Igunguja(vijijini) na sio mwanasheria

Poleni magamba maana naona mnatunga hadi visivyotungika. Tuntemeke anawaaibisha kama mlimtuma kama mwandishi wenu huko kwenye ziara ya Dr.Na kama ilivyo kawaida ya vyombo vya habari vya Tanzania, wameambiwa wapotezee maana mlichokidhania sicho kinachotokea.CCM hawapaswi kujilinganisha na chama chochote wala kushindana na chama chochote cha siasa.Walitakiwa kutumia rekodi yao Nzuri (kama ipo) kuendelea kuwajengea Imani wananchi na si vinginevyo. Angeomba mwongozo huo Lukuvi, Bunge lingeahirishwa, ila kwa sababu ni Lissu, ndo ikawa hivyo.Mjadala wa kura ya maoni kuhusu katiba mpya hatutakubali kuburuzwa na wajinga wa ccm.
 
Haya Nijibu Maswali Japo Moja Kati Ya Haya 1. Wakati Wa Msiba Wa Nyerere Jaji Mkuu Aliweza Kusoma Kesi Yoyote Pale Mahakamani? 2.wakati Wa Maombolezo Ya Mwalimu, Bunge Liliweza Kuketi Na Kupitisha Muswada? 3. Wakati Wa Maombolezo Ya Mwalimu Raisi Aliweza Kusafiri Na Kuelekea Nje Kusaini Mkataba? Sijapotosha Umma Sema Kunashughuri Hufanyika Lakini Bila Kukiuka Amri Ya ''KUHAIRISHA SHUGHURI ZOTE ZA SERIKARI" Shughuli Zote Za Kihoisi Husimama. Tambua Pia Kuwa Ofisi Ya Waziri Haiwezi Kuwa Chafu Ati Kwa Kuwa Ni Maombolezo, Fikiri Na Kama Akili Haitaki Basi Ilazimishe Kufikiri!
Kumbe Tatizo sio CCM ni fikra Mgando Kama hizi,Ni lini ukoloni mambo leo utaisha? Hivi upi umuhimu wa Mandela kwa Tanzania? kama sio kujipendekeza naishangaa hata hiyo serekali kutoa hizo siku tatu za maombolezo.
Hivi unajua wakati wa mazishi ya J.K.N huyo Mandela alikua wapi?
 
Katika muswada wa kura ya maoni unaendelea hakika bunge limepwaya, hapa ndipo tunapoona umuhimu wa Tundu Lissu. Leo hii mapema asubuhi amesimama na kuomba mwongozo wa spika, katika mwongozo huo huku akionekana mdhaifu Tundu Antipas Lissu amesema tangu jana anaumwa hadi leo bado ana homa kali, akamwomba mh spika aliahirishe bunge kwasababu ya msiba mzito wa kuondokewa na mtoto wa Afrika tata Madiba. Akadai pamoja na homa kali aliyonayo ameamua kujikongoja kuja bungeni kwasababu hiyo. Baada ya spika kukataa ombi lake ameondoka nje ya ukumbi. Ninini kinachomsibu Tundu Lissu kwani pengo lake linaonekana katika muswada huu muhimu! Ugua pole Mh, tunakuhitaji bungeni mapema iwezekanavyo.

wapemba wanajuana kwa vilemba vyao, anamlilia mpiganajia mwenzake mzee NELSON MANDELA!
 
Mheshimiwa Tundu Lissu ameomba mwongozo huo kwa spika Makinda ili bunge liahirishwe japo kwa leo kwa ajili ya maombolezo ya Mandela ambaye ni kielelezo kikubwa cha kiongozi aliyetukuka barani Afrika kwa mchango wake katika harakati za ukombozi. Hata hivyo spika hakukubaliana na hoja ya Tundu Lissu na kuruhusu bunge liendelee kama kawaida.

Bunge halikusita msiba wa Spice Islanders ilipozama watanzani na wazanzibar elfu kwa maelfu wamekufa lije lisite kwa Nelson Mandela afrika kusini uko.,,

Hii nchi inaongozwa kila kitu kwa Interest ya CCM tu., Ndio mana tunapigania hii katiba ili hili jini la CCM liende na maji.,,
 
Kumbe Tatizo sio CCM ni fikra Mgando Kama hizi,Ni lini ukoloni mambo leo utaisha? Hivi upi umuhimu wa Mandela kwa Tanzania? kama sio kujipendekeza naishangaa hata hiyo serekali kutoa hizo siku tatu za maombolezo.
Hivi unajua wakati wa mazishi ya J.K.N huyo Mandela alikua wapi?
Haya ndo majanga ya kongozwa na emotional leaders, Who is Mandella in tz.. Sawa nikiongozi wa mfano tena mfano wakuigwa, ila sio Rais wa tz kutangaza maombolezo ya siku 3 na Kuamuru bendela kupepea nusu mlingoti!.. NAHISI UAMZII HUU KAUCHUKUA BAADA YA KUSIKIA OBAMA KAM-PRAISE BABA HUYU WA TAIFA LA AFRIKA KUSINI.
 
Huyo alienda kuvuta posho yake kisha mdogomdogo kulala haha, chezea si hasa ya bongo.
 
haya nijibu maswali japo moja kati ya haya 1. Wakati wa msiba wa nyerere jaji mkuu aliweza kusoma kesi yoyote pale mahakamani? 2.wakati wa maombolezo ya mwalimu, bunge liliweza kuketi na kupitisha muswada? 3. Wakati wa maombolezo ya mwalimu raisi aliweza kusafiri na kuelekea nje kusaini mkataba? Sijapotosha umma sema kunashughuri hufanyika lakini bila kukiuka amri ya ''kuhairisha shughuri zote za serikari" shughuli zote za kihoisi husimama. Tambua pia kuwa ofisi ya waziri haiwezi kuwa chafu ati kwa kuwa ni maombolezo, fikiri na kama akili haitaki basi ilazimishe kufikiri!

kwa hili naunga mkono hoja ya kuairisha bunge ikiwezekana ata kesho pia nampongeza jk kwa kutangaza siku 3 za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti
 
Katika muswada wa kura ya maoni unaendelea hakika bunge limepwaya, hapa ndipo tunapoona umuhimu wa Tundu Lissu. Leo hii mapema asubuhi amesimama na kuomba mwongozo wa spika, katika mwongozo huo huku akionekana mdhaifu Tundu Antipas Lissu amesema tangu jana anaumwa hadi leo bado ana homa kali, akamwomba mh spika aliahirishe bunge kwasababu ya msiba mzito wa kuondokewa na mtoto wa Afrika tata Madiba. Akadai pamoja na homa kali aliyonayo ameamua kujikongoja kuja bungeni kwasababu hiyo. Baada ya spika kukataa ombi lake ameondoka nje ya ukumbi. Ninini kinachomsibu Tundu Lissu kwani pengo lake linaonekana katika muswada huu muhimu! Ugua pole Mh, tunakuhitaji bungeni mapema iwezekanavyo.
kwa hiyo unataka kutuambia amesaini posho bure leo? au amerudisha?
 
Back
Top Bottom