Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
kwa hiyo unataka kutuambia amesaini posho bure leo? au amerudisha?
Amesaini ya jana na leo, chezea faranga wewe.
kwa hiyo unataka kutuambia amesaini posho bure leo? au amerudisha?
hatariiiii, kumbe kwenu mnaombolezea baa! utakuwa msiba au sherehe?
Kama mnaamini hivyo mbona ni gazeti lenu pekee ndio Leo halikuandika kuhusu kifo chake. Acheni kutafuta umaarufu rahisiKwa kweli Mandela ni mtu wa kipekee sana katika bara la Afrika anapaswa kukumbukwa na kuenziwa kwa mchango wake.
mkuu mandela kwangu ni African Icon pengine kuliko wengi ninaowasikia. ila swali langu Je lisu alizungumzia kuhusu kurudisha posho za kodi zetu walizosaini leo asubuhi?Mheshimiwa Tundu Lissu ameomba mwongozo huo kwa spika Makinda ili bunge liahirishwe japo kwa leo kwa ajili ya maombolezo ya Mandela ambaye ni kielelezo kikubwa cha kiongozi aliyetukuka barani Afrika kwa mchango wake katika harakati za ukombozi. Hata hivyo spika hakukubaliana na hoja ya Tundu Lissu na kuruhusu bunge liendelee kama kawaida.
Ni Mwanasheria Mkuu wa Chama na mwanafunzi wa Asha Rose Migiro.
lisu alitaka muda wa kwenda bar na kuvuta bangi
Mbona Lissu anatembea na viroba kwenye koti.
maombolezo ya siku tatu yanafanyikia wapi?unawaambia watu kuna maombolezo halafu taasisi kubwa kama bunge linaendelea na ratiba zake kama kawaida, hayo maombolezo anafanya nani na yanafanyikaje?Serikali imeshatoa maombolezo siku 3. Sasa kiherehere cha nini?
Sidhani kama huu ni mchango katika mada hii!kachanganyikiwa-hali inayomkuta SLAA mikoani inaashiria kifo cha CDM-vyombo vya habar ambavyo wamekuwa wakifurahia mabadiliko ya siasa yaliyokuwa yakiongozwa na CDM nao sasa wamegundua kuwa ile ni SACCOS na wamepoteza imani na sasa wana wa- blast na sasa anafikiria mikakati yao ya kumngo'a ZZK(kipenzi cha wanyonge-mkataa posho za kukaa) ilivyokwama pamoja na kumbambikizia shutuma kibao kwa uroho wao wa madaraka-na sasa anafikiria yale makosa 11 aliyoyaandika kwa kujinasibu ambayo utadhani yameandikwa WP(Women Police) 123 wa kituo cha Igunguja(vijijini) na sio mwanasheria
Kuna mchagga asiyeomboleza kwa kulewa?
Kweli tupo nyuma sana
kifikra tazama CNN kuanzia asubuhi hadi saa hizi ni TATA MADIBA,CITIZEN
pia angalia hiyo TBC majanga....BUNGE lenyewe halina impact kwa
watanzania yaani hata wakisema kusiwe na wabunge hakutakua na shida
yoyote..kazi ni kusubiri posho tu...shenzi shenzi
Tunaombolezaje..???
Kwanza bunge lenyewe magumashi tu, bunge la miaka 52 likiwa na wabunge waliokaa humo miaka 52 vilevile lakini bado mbunge anauliza serikali ina mpango gani ........., na majibu yanayotolewa ya kimagumashi hayakidhi haja ya swali, aliyeuliza swali hawezi ku emphasize apewe jibu linalotakiwa atanyamazishwa asiulize tena au swali lake lisiulizwe kabisa simply mhishimiwa supika halitaki swali hilo.Mheshimiwa Tundu Lissu ameomba mwongozo huo kwa spika Makinda ili bunge liahirishwe japo kwa leo kwa ajili ya maombolezo ya Mandela ambaye ni kielelezo kikubwa cha kiongozi aliyetukuka barani Afrika kwa mchango wake katika harakati za ukombozi. Hata hivyo spika hakukubaliana na hoja ya Tundu Lissu na kuruhusu bunge liendelee kama kawaida.
sasa dada mbona Tundu Lissu siyo mchagga? siyo vizuri kumhukumu mtu kwa uhusika ambao sio wake!
Weka picha
Mheshimiwa Tundu Lissu ameomba mwongozo huo kwa spika Makinda ili bunge liahirishwe japo kwa leo kwa ajili ya maombolezo ya Mandela ambaye ni kielelezo kikubwa cha kiongozi aliyetukuka barani Afrika kwa mchango wake katika harakati za ukombozi. Hata hivyo spika hakukubaliana na hoja ya Tundu Lissu na kuruhusu bunge liendelee kama kawaida.