Ndio maana nakwambia wewe una akili yakitumwa!Hizo damu ni impact tu ya uongozi wahovyo wa gadafi. Toka zamani demokrasi ingekuwepo wangekuwa wameshazoea. Ni sawa na kagame siku akifa itakuwa kama libya kule watu watachinjana mana hawatajua waanzie wapi waishie wapi. Udictator wa viongozi wa kiafrika ndp chanzo cha matatizo wala siyo wazungu. Mfano kipindi cha jpm mi nilitamani boko haramu au isis waje tutandikane mabomu i kila mtu asikie uchungu siyo chadema tu.
Ushauri wako ni nini ili kuipata Tanganyika ya ki democracy ?Huwezi kuitoa CCM kwa kutegemea Wazungu ambao nao wanabenefit kwa CCM, kinachofuata watakutumia kuibana CCM kwa wao kupata maslahi zaidi... Nitajie nchi moja ambayo wazungu wameleta demokrasia na stabilization..
Wazungu walishindwa kuwasaidia weusi pale SA dhidi ya kaburu matokeo yake weusi wenyewe wakapambana kujikomboa huku wazungu wakipamban kimyakimya kusaidia kaburu..
Ushauri wako ni nini ili kuipata Tanganyika ya ki democracy ?
Trilion 194 tulizipata?
Kalale mtoto mdogo wewe
Kwa mawazo yangu hauko sahihi samurai . Tunaihitaji maisha bora na elimu bora. Vyote hivi haviwezi kuletwa na Ccm ile Ile yenye itikadi za ki communist. Bila katiba nzuri inayoruhusu vyombo ya maamuzi kujisimamia , forget . Unapokuwa judges wanaoomba usiku na mchana wafanyiwe favour. Unapokuwa na vyombo vya dola na vya maamuzi ambao viongozi wake hawatokani na ueledi bali mapenzi ya alieko state house sahau. Ukijumlisha na nidhamu ya uogatuliojegewa .Issue sio democracy issue ni CCM kushindwa kuwalete watanzania maendeleo kwa haraka...Bado MwaAfrica hahitaji democracy ya Mzungu wakati huo bado na jambo la karne nyingi mbele....kwa sasa ni maisha ya watu kuboreka na kuishi kama binadamu..
Nini kifanyike? Watanzania wafundishwe madhara ya maisha wanayoishi na anayesababisha na ufumbuzi wake baada ya kumtoa anayesababisha, Elimu hii ikienea basi automatically tu watanzania wataikataa CCM na hata isipotaka kutoka watanzania hao hao wataitoa tu....elimu hii ikitamalaki hata vyombo vya ulinzi na usalama vitatusaidia..
Kumtegemea Mzungu, ni kuendelea kujilemaza na kuuishi ukoloni kivingine..Ndio atatusaidia kuitoa CCM lakini lazima awe nyuma yako kuhakikisha maslahi yake na ukimzingua ataitumia hiyohiyo CCM kama fimbo ya kukuchapa hata kuleta machafuko...
Wazungu ni wakimbizi acha ufala. Huoni walivyo muassassinate gadafi kwa kuwa alikuwa anawanyanyasa sana wapinzani. Jpm ameua na kupiga risasi wapinzani na yeye wazungu wakatusaidia kumfyekelea mbali. Hivyo wazungu wanamsaada sana . Wazungu wasingekuwepo tungechinjana sana mana miafrika hatuna akili lazima tuwe regulated ili tuishi kwa kuheshimiana.
Baada ya kwenda kufanya kikao na mkurugenz wa tume ampe info za namna ya kunufaishana anaenda kuonana na MTU ambaye hana athar za moja kwa moja ktk matukio ya bongo lendHapo kakutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya.
Hakuna kurudi nyuma katika mapambano ya kumdhibiti mkoloni mweusi.
View attachment 1974257
Mzigo haukutoka na wanaendelea na kazi!issue sio kupata au kutopata hiyo trilioni 194 Issue ni Wazungu aka mabeberu kupata challenge na kuharibu image yao na hata uoga wao juu ya waAfrica wengine kuamka na kuanza kuwachalenge pia.... Kumbana kwao JPM kulikuja baada ya hapa kwenye hii challenge..na nakuambia pia hili liliwaletea shida Wazungu sehemu tofauti tofauti...
Kwa mawazo yangu hauko sahihi samurai . Tunaihitaji maisha bora na elimu bora. Vyote hivi haviwezi kuletwa na Ccm ile Ile yenye itikadi za ki communist. Bila katiba nzuri inayoruhusu vyombo ya maamuzi kujisimamia , forget . Unapokuwa judges wanaoomba usiku na mchana wafanyiwe favour. Unapokuwa na vyombo vya dola na vya maamuzi ambao viongozi wake hawatokani na ueledi bali mapenzi ya alieko state house sahau. Ukijumlisha na nidhamu ya uogatuliojegewa .
Elimu mbovu ni mtaji wao wa kuitawala nchi hii. Na umasikini ni usalama wao wa kubaki madarakani. Hawawezi kuvitoa hivi.
Ndio maana nakwambia wewe una akili yakitumwa!
Hivi Libya kabla ya wazungu wako kuketa democrasia watu walikuwa wana chinjana kama ilivyo sasa?
Kwa Kagame kuna watu wana chinjana?
Mkilishwa ujinga wa democrasia ya mzungu nasi mnajihisi mko mbinguni
Umenena vyemaHuwezi kuitoa CCM kwa kutegemea Wazungu ambao nao wanabenefit kwa CCM, kinachofuata watakutumia kuibana CCM kwa wao kupata maslahi zaidi... Nitajie nchi moja ambayo wazungu wameleta demokrasia na stabilization..
Wazungu walishindwa kuwasaidia weusi pale SA dhidi ya kaburu matokeo yake weusi wenyewe wakapambana kujikomboa huku wazungu wakipamban kimyakimya kusaidia kaburu..
kapange chumba hata Cha 25000 kisicho na umeme kuliko kuendelea kuishi kwa baba ako ,ukiendelea Kula ugali wamama hutaelewa globo' inataka nnBora mimi mtoto mdogo kuliko wewe mtu mzima usiyejua mission za wazungu duniani na Africa....mtu mzima unashangilia kupewa pipi huku unakamuliwa.... Uhuru haupatikani kwa Mzungu, uhuru unapatikana kwa watu kupambana na adui usiku na mchana, jua-mvua, jasho kwa damu....kwenda kulialia kwa Mzungu eti akusaidie kujikomboa ni usaliti maana kila mtu anajua ukombozi wa Mzungu nyuma yake ni nini...
..mbona wazungu hawachinjani kwa ajili ya demokrasia?
..Gaddafi alimpindua Mfalme halafu na yeye akajigeuza kuwa Mfalme.
..Gaddafi angeruhusu vyama vya siasa na kuandaa uchaguzi ulio huru Libya isingesambaratika.
Nisome vizuri, hata mimi naamini CCM haiwezi kutuletea maisha bora.... issue yangu iko kwenye kuitoa au kuilazimisha ilete hayo maisha bora ambayo ndio hitaji la kila mtu...
Kwenye kuitoa CCM ni watanzania wenyewe wanahitajika kuweka nguvu, kuelimishana ili watu wengi kama sio wote tukubaliane juu ya hili, kwa wingi wetu tukiikataa CCM haina pakutokea au kwa wingi wetu tukilazimisha jambo fulani litakuwa...
kapange chumba hata Cha 25000 kisicho na umeme kuliko kuendelea kuishi kwa baba ako ,ukiendelea Kula ugali wamama hutaelewa globo' inataka nn