Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Mbunge machachari na Mwenye Ushawishi mkubwa kwenye Bunge la Ulaya , Mh David McAllister , amekutana na Viongozi wa Chadema Jijini Brussels Ubelgiji , na kufanya nao mazungumzo .
Viongozi wa Chadema bado wako kwenye ziara ndefu ya kikazi barani Ulaya , ambako wanatumia ziara hiyo kukutana na Wakuu kadhaa wa Taasisi za Kimataifa na kufanya nao Mazungumzo .
McAllister anafahamika kwa kupinga Udikteta wa awamu ya 5 ulioletwa nchini Tanzania na kiongozi muoga , na anajulikana pia kwa kuweka msimamo wa Kupinga kesi ya Uongo ya Ugaidi iliyomkabili Mbowe na wenzake watatu.
Viongozi wa Chadema bado wako kwenye ziara ndefu ya kikazi barani Ulaya , ambako wanatumia ziara hiyo kukutana na Wakuu kadhaa wa Taasisi za Kimataifa na kufanya nao Mazungumzo .
McAllister anafahamika kwa kupinga Udikteta wa awamu ya 5 ulioletwa nchini Tanzania na kiongozi muoga , na anajulikana pia kwa kuweka msimamo wa Kupinga kesi ya Uongo ya Ugaidi iliyomkabili Mbowe na wenzake watatu.