Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
MUNGU katusaidia snMijinga ni Mingi Sana, Unatetea Miuwaji lakini mungu alishafanya Yake. Mungu hashindwi tu He is no more
MUNGU katusaidia snMijinga ni Mingi Sana, Unatetea Miuwaji lakini mungu alishafanya Yake. Mungu hashindwi tu He is no more
Ndiyo ukweli gani?acha kuolewa kifikiraNdiyo ukweli
Bahati nzuri dikteta hayupoNdiyo ukweli gani?acha kuolewa kifikira
Bora yako wewe utayekufa kifo kizuri au utaishi milele kwa sababu ya cdmAcha Mungu aitwe Mungu! Mungu si wa kudhihakiwa!
Unataka na nani hilo sahauni mliokuwa mkiwadanganya na hizi sera zenu walishakufaNa ndiyo maana tunataka katiba mpya mahakama iwe huru awapeleke huko mahakamani. Mtatajana tuu.
Jibu hoja acha kuimba taarabu kama mwanamke wa pemba.Hili jinga limalopoka uongo kila kukicha... Na kuna mandezi wanamshangilia kwa nguvu zote.
Vidonda alivyo sababishiwa na magufuliLisu ni ombaomba anayetumia vidonda vyake kuomba
Huyu bi, Chokochoko aliesema kabisa kuwa wale ni polisi wa Siro, kwa kua askari wa CCM akipiga risasi zaidi ya tatu na mtu ajafa wanamfuta kazi.Anachoshangaza Lisu ni kuwa hata huyu Rais aliyepo sasa bado anamtukana, then mtu unaweza kujiuliza dhamira yake ni nini?
Watoto wa bi, Chokochoko hao. Unguja moja hiyo.. waanaolewa tu Mombasa kwa raha zao.Jibu hoja acha kuimba taarabu kama mwanamke wa pemba.
Hii issue kwangu inakuja inakata. Lakini mpaka Leo najiuliza kwa nini Polisi walimfuata Lissu ubalozini. Haya ndo Sirro anatakiwa kutufumbua macho badala ya kutuambia LISSU anafaidi kwa kuwa mlemavu.'Nilikimbia nchi baada ya kupata taarifa kuwa Rais Magufuli alikuwa ametoa amri kwa 'watu wasiojulikana' kuwa niuawe mara baada ya uchaguzi. Nilikamatiwa na polisi wa IGP Sirro nje ya Ubalozi wa Ujerumani na isingekuwa wanadiplomasia wa Kijerumani kuingilia kati ningepotezwa."-Mh Tundu Lissu
sirro anajua kila kitu'Nilikimbia nchi baada ya kupata taarifa kuwa Rais Magufuli alikuwa ametoa amri kwa 'watu wasiojulikana' kuwa niuawe mara baada ya uchaguzi. Nilikamatiwa na polisi wa IGP Sirro nje ya Ubalozi wa Ujerumani na isingekuwa wanadiplomasia wa Kijerumani kuingilia kati ningepotezwa."-Mh Tundu Lissu
Kwanini wewe utaishi milele mkuu??Hata Ndugai ni suala la muda tu
Alikua Mwendawazimu.Mwenyezi Mungu ALIMLIPA Mwendazake IPASAVYO, kama angeendelea kuvuta pumzi HAKIKA sote tungemalizika. Huyo hakuwa binadamu wa kawaida aisee.
Mjinga mama yako anaeliwa kibogaHili jinga limalopoka uongo kila kukicha... Na kuna mandezi wanamshangilia kwa nguvu zote.
Kuolewa Mombasa imekua nongwa hakuna unachowaza zaidi ya ndoa yako, sawa Bibie kila la heri.Ndiyo ukweli gani?acha kuolewa kifikira
Nitakufa kifo kizuri maana sijawahi kutuma watu wakaue mtuKwanini wewe utaishi milele mkuu??
Ni suala la muda tu
Mwendawazimu kafa kibaya sana. Mdomo wazi. Akawa anatoa harufu mbaya akazibwa na gundi 😂😂😂Bora yako wewe utayekufa kifo kizuri au utaishi milele kwa sababu ya cdm
Kifo ni kifo mkuu!Nitakufa kifo kizuri maana sijawahi kutuma watu wakaue mtu
Kwaiyo leo kumuhoji mtendwa sio issue ila wafanye wanavyojua! Yani leo uko na mimi somewhere we unafariki tukiwa wawili tu alafu mi sitaki kwenda kuhojiwa eti wafanye uchunguzi wao wenyewe kivyao!! SbameIchunguze akili yako ndugu.
Vipi Kama angekufa au angepata coma
Nani angetoa ushirikiano?
Hivi wengine mioyo ya kibinadamu mlipeleka wapi?.