Nijifunze?Jifunze kuvumilia mawazo/mitazamo tofauti na yako/yenu. Ungeweza tu kutoa opinions zako bila makasiriko.
Unajuaje kuwa sijui kuvumilia?
Unapoweka uchafu maksudi inabidi uambiwe.
Kwa hiyo nawe "jifunze" kutoweka takataka.
Nijifunze?Jifunze kuvumilia mawazo/mitazamo tofauti na yako/yenu. Ungeweza tu kutoa opinions zako bila makasiriko.
Upo kwenye denial stage.....Nijifunze?
Unajuaje kuwa sijui kuvumilia?
Unapoweka uchafu maksudi inabidi uambiwe.
Kwa hiyo nawe "jifunze" kutoweka takataka.
"Denial" of what?Upo kwenye denial stage.....
Mbona una makasiriko? JF ni kisiwa cha mijadala, ukiona yakwangu haikufai au haikufurahishi just skip them. Naona unaleta shari bila sababu. Ungeweza kutoa mawazo yako au jibu hoja za wengine."Denial" of what?
I am simply stating the obvious, your line of argument makes no sense.
Sina makasiriko yoyote.Mbona una makasiriko? JF ni kisiwa cha mijadala, ukiona yakwangu haikufai au haikufurahishi just skip them. Naona unaleta shari bila sababu. Ungeweza kutoa mawazo yako au jibu hoja za wengine.
Naheshimu sana hii mada ndio maana sitaki kuvuka mstari unaotaka nivuke.
Sawa.Sina makasiriko yoyote.
Na kwa vile JF ni "kisiwa" kama unavyokiita, basi ni haki yangu pia kutolea maoni kwa takataka ninazokutana nazo, au unasemaje?
EeeenHeeeee!Naheshimu sana hii mada ndio maana sitaki kuvuka mstari unaotaka nivuke.
Una lingine?EeeenHeeeee!
Huna mstari wowote wa kuvuka, ndiyo maana.
Ungeheshimu hii mada usingeweka mambo ya ajabu kama hayo unayoweka kwenye mada yenyewe.
Siku si nyingi zilizopita nilikuuliza, kama kweli wewe ndiye 'Lusungo', naona hukumbuki.
Kama ndiye, basi kuna jambo limekupata hivi karibuni.
Kama umenielewa. Sina.Una lingine?
Siku nyingine muwe mnabaki kwenye zile nyuzi zenu za kula tunda kimasihara na connection huku si size yako.Kama umenielewa. Sina.
Naona hunijui.Siku nyingine muwe mnabaki kwenye zile nyuzi zenu za kula tunda kimasihara na connection huku si size yako.
Kuwa humu si hoja, hoja ni kuwa mijadala ya hapa si size yako we chokoraa.Naona hunijui.
Nimo humu siku nyingi sana. Pitia tu ujikumbushe ninakosimamia
EeeenHeeee!Kuwa humu si hoja, hoja ni kuwa mijadala ya hapa si size yako we chokoraa.
Kiongozi hizo takwimu za Marekani umezitoa wapi? Katiba ya Marekani ina umri wa miaka 235 na sio zaidi ya 270 kama ulivyoandika. Ilitengenezwa mwaka 1787.Tundu Lisu; No, You are Myopic
What you have tried to explain is totally incorrect and myopic. The focus of electing various representatives and providing infrastructure is to facilitate Provision of Services to the community.
In large urban areas, the infrastructure and governance resources are easily shared by a large number of people. Therefore, there is no need of having too many Reps.
You seem to have you mind stuck in the number of reps; and forgets the justification and cost benefit alaysis. .
You want to increase the number of MPs whenever the population increases. What is going to be the limit. Is it logical?
USA’s Constitution is over 270 years old. The population has increased more than 100 times; but their number of Representatives and Senators has remained 495 and 100 respectively.
In the same USA, due to their population sizes, California has 54 Electro Votes and Rhode Island has 2 Electro Votes. But both are represented by 2 Senators in the Senate.
Tundu Lisu, we know that you are idle over there. Use your time to study and research issues before you write. You are disheartening us to find you still providing childish postings; and therefore wasting our time.
Take care
Nilimsikiliza vizuri sana ile siku, ali criticize sana mfumo wa sasa wa kijiografia na mawasiliano kutumika kugawanya majimbo, akitolea mfano Morogoro yenye wapiga kura 1+ kuwa sawa na Dar es salaam yenye wapigakura 3M+.
Akaendelea kusisitiza mfumo wa majimbo kwa kuangalia kigezo tu cha idadi ya watu na kufikia hata kwenye calculations na kutaja pengine DSM ingekua na majimbo 30+ kama hiyo kanuni ingerumika.
Hoja yangu kwa nchi changa kama zetu zenye changamoto nyingi za kijamii, kieneo,kimazingira,kikabila hata kitamaduni si sawa kuleta mfumo unaofanya kazi kwenye jamii zilizopevuka kama Uingereza na marekani.
Pia nimejaribu kutoa opinion yangu kwa mujibu wa hoja zake ambazo nilizisikia hizo unazosema wewe kuwa pengine hakuzitaja lakini zilikua kwenye mawazo yake siwezi zichambua.
Idadi ya watu, jiografia na mawasiliano ndio vigezo ndio. Mkoa wa Dar wenye wapigakura 3M+ ni mdogo kieneo kuliko wilaya ya Rufiji au Ulanga. Kusema tu idadi ya watu iamue kwakua mbunge hawakilishi milima au ng'ombe kwa mujibu wa Lissu si sawa...ukubwa wa eneo na idadi ya watu ndio vigezo pekee ambavyo vitaweka mfumo wa haki.
..uki-consider mambo kama kabila, tamaduni,...hutakuwa na mfumo au utaratibu ambao uko uniform.
..lakini hapa Tz kuna majimbo ambayo yalianzishwa mahsusi kwa ajili ya vigogo fulani ktk serikali ya Ccm.
..Yaani jimbo linagawanywa ili kumpa fursa kigogo ashinde uchaguzi. Bila kugawa jimbo mtu wao hawezi shinda.