Tundu Lissu: Idadi ya wabunge wa kuchaguliwa iwiane na idadi ya raia wanaowakilisha

"Denial" of what?

I am simply stating the obvious, your line of argument makes no sense.
Mbona una makasiriko? JF ni kisiwa cha mijadala, ukiona yakwangu haikufai au haikufurahishi just skip them. Naona unaleta shari bila sababu. Ungeweza kutoa mawazo yako au jibu hoja za wengine.
Naheshimu sana hii mada ndio maana sitaki kuvuka mstari unaotaka nivuke.
 
Mbona una makasiriko? JF ni kisiwa cha mijadala, ukiona yakwangu haikufai au haikufurahishi just skip them. Naona unaleta shari bila sababu. Ungeweza kutoa mawazo yako au jibu hoja za wengine.
Naheshimu sana hii mada ndio maana sitaki kuvuka mstari unaotaka nivuke.
Sina makasiriko yoyote.
Na kwa vile JF ni "kisiwa" kama unavyokiita, basi ni haki yangu pia kutolea maoni kwa takataka ninazokutana nazo, au unasemaje?
 
Naheshimu sana hii mada ndio maana sitaki kuvuka mstari unaotaka nivuke.
EeeenHeeeee!
Huna mstari wowote wa kuvuka, ndiyo maana.

Ungeheshimu hii mada usingeweka mambo ya ajabu kama hayo unayoweka kwenye mada yenyewe.

Siku si nyingi zilizopita nilikuuliza, kama kweli wewe ndiye 'Lusungo', naona hukumbuki.
Kama ndiye, basi kuna jambo limekupata hivi karibuni.
 
EeeenHeeeee!
Huna mstari wowote wa kuvuka, ndiyo maana.

Ungeheshimu hii mada usingeweka mambo ya ajabu kama hayo unayoweka kwenye mada yenyewe.

Siku si nyingi zilizopita nilikuuliza, kama kweli wewe ndiye 'Lusungo', naona hukumbuki.
Kama ndiye, basi kuna jambo limekupata hivi karibuni.
Una lingine?
 
1 Sept 2020

How Maps Help Politicians Stay In Power



Both Democrats and Republicans are raising millions of dollars this election cycle to flip state legislatures and have an advantage in redistricting come 2021. Redistricting is the process mandated by the constitution to ensure fair representation as the population changes. When abused, this is called gerrymandering. These gerrymandered maps can discriminate on the basis of party, race or other pieces of identity politics. Watch the video to find out how gerrymandering works and why one expert called it "the biggest and boldest investment in modern American politics."

Source : CNBC
 
Tundu Lisu; No, You are Myopic

What you have tried to explain is totally incorrect and myopic. The focus of electing various representatives and providing infrastructure is to facilitate Provision of Services to the community.

In large urban areas, the infrastructure and governance resources are easily shared by a large number of people. Therefore, there is no need of having too many Reps.

You seem to have you mind stuck in the number of reps; and forgets the justification and cost benefit alaysis. .

You want to increase the number of MPs whenever the population increases. What is going to be the limit. Is it logical?

USA’s Constitution is over 270 years old. The population has increased more than 100 times; but their number of Representatives and Senators has remained 495 and 100 respectively.

In the same USA, due to their population sizes, California has 54 Electro Votes and Rhode Island has 2 Electro Votes. But both are represented by 2 Senators in the Senate.

Tundu Lisu, we know that you are idle over there. Use your time to study and research issues before you write. You are disheartening us to find you still providing childish postings; and therefore wasting our time.

Take care
Kiongozi hizo takwimu za Marekani umezitoa wapi? Katiba ya Marekani ina umri wa miaka 235 na sio zaidi ya 270 kama ulivyoandika. Ilitengenezwa mwaka 1787.

Idadi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ni 438 na sio 450 uliyotaja.
 
Kuanzisha mikoa na wilaya mpya au kubadilisha mipaka ya majimbo ya uchaguzi ya ubunge na udiwani, ni mbinu ya chama kongwe kubaki madarakani ?

1659749726147.png
 
Ramani ikionesha mikoa mipya ya Simiyu, Geita, Katavi, Njombe, Songwe na ule mpya unaopigiwa chapuo mkoa wa Chato uanzishwe.
1659778919195.png

Ni kweli kwa ajili ya kupeleka huduma karibu na wananchi au ni kwa ajili ya kujiongezea viti vya ubunge na nafasi zingine za kuendelea kutawala?

1659750098552.png
 
Nilimsikiliza vizuri sana ile siku, ali criticize sana mfumo wa sasa wa kijiografia na mawasiliano kutumika kugawanya majimbo, akitolea mfano Morogoro yenye wapiga kura 1+ kuwa sawa na Dar es salaam yenye wapigakura 3M+.

Akaendelea kusisitiza mfumo wa majimbo kwa kuangalia kigezo tu cha idadi ya watu na kufikia hata kwenye calculations na kutaja pengine DSM ingekua na majimbo 30+ kama hiyo kanuni ingerumika.

Hoja yangu kwa nchi changa kama zetu zenye changamoto nyingi za kijamii, kieneo,kimazingira,kikabila hata kitamaduni si sawa kuleta mfumo unaofanya kazi kwenye jamii zilizopevuka kama Uingereza na marekani.

Pia nimejaribu kutoa opinion yangu kwa mujibu wa hoja zake ambazo nilizisikia hizo unazosema wewe kuwa pengine hakuzitaja lakini zilikua kwenye mawazo yake siwezi zichambua.

..ukubwa wa eneo na idadi ya watu ndio vigezo pekee ambavyo vitaweka mfumo wa haki.

..uki-consider mambo kama kabila, tamaduni,...hutakuwa na mfumo au utaratibu ambao uko uniform.

..lakini hapa Tz kuna majimbo ambayo yalianzishwa mahsusi kwa ajili ya vigogo fulani ktk serikali ya Ccm.

..Yaani jimbo linagawanywa ili kumpa fursa kigogo ashinde uchaguzi. Bila kugawa jimbo mtu wao hawezi shinda.
 
..ukubwa wa eneo na idadi ya watu ndio vigezo pekee ambavyo vitaweka mfumo wa haki.

..uki-consider mambo kama kabila, tamaduni,...hutakuwa na mfumo au utaratibu ambao uko uniform.

..lakini hapa Tz kuna majimbo ambayo yalianzishwa mahsusi kwa ajili ya vigogo fulani ktk serikali ya Ccm.

..Yaani jimbo linagawanywa ili kumpa fursa kigogo ashinde uchaguzi. Bila kugawa jimbo mtu wao hawezi shinda.
Idadi ya watu, jiografia na mawasiliano ndio vigezo ndio. Mkoa wa Dar wenye wapigakura 3M+ ni mdogo kieneo kuliko wilaya ya Rufiji au Ulanga. Kusema tu idadi ya watu iamue kwakua mbunge hawakilishi milima au ng'ombe kwa mujibu wa Lissu si sawa.

Hayo mengine ya kubeba watu ni ishu nyingine maana tatizo la usimamizi na utekelezaji wa sheria ni kansa kwa nchi hii.
 
Back
Top Bottom