Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,681
- 46,369
Idadi ya watu ndio inapaswa kuwa kipimo cha ubunge. Sio Halmashauri au eneo tu la kijiografia kwa sababu mbunge anapaswa kuwakilisha wapiga kura na wapiga kura wote wanapaswa kuwakilishwa kwa usawa.
Halmashauri zinatofautiana Idadi ya watu, ziko Halmashauri ndogo kieneo ila zina idadi kubwa sana ya watu haziwezi kuwakilishwa na wabunge wawili tu, zipo Halmashauri huenda zinahitaji mbunge mmoja tu kwa sababu ya uchache wa watu.
Kwa Tanzania kila raia kati ya 150000 hadi 160000 wakiwakilishwa na mbunge mmoja tutakuwa na wabunge si zaidi ya 400.
Halmashauri zinatofautiana Idadi ya watu, ziko Halmashauri ndogo kieneo ila zina idadi kubwa sana ya watu haziwezi kuwakilishwa na wabunge wawili tu, zipo Halmashauri huenda zinahitaji mbunge mmoja tu kwa sababu ya uchache wa watu.
Kwa Tanzania kila raia kati ya 150000 hadi 160000 wakiwakilishwa na mbunge mmoja tutakuwa na wabunge si zaidi ya 400.