KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Ni kweli hiyo theory ipo kwenye psychology lakini kwa alikofikia Lissu hapana...kwenye uongozi busara ni muhimu sana na Lissu hiyo busara ameikosa kabisa kila kitu yeye anajiona anakijua na yuko juu wa wengine kwa kila jambo.nina karibu copy ya mijadala yake ya Bungeni huwa namsikiliza sana tu ktk kuchangia hoja zake kwa muda mrefu....ni kweli mambo mengi anayajua lakini ana vuka mipaka sana na hilo ni tatizo kubwa ukiwa kiongozi
So, we're making progress.
Tumetoka kwenye "Hafai kuwa Rais, na na kutojua mambo.
Sasa limebaki tatizo moja tu, la "hana busara," ila mambo anayajua.
Hebu nieleze kama "kuwapigia watu shangazi zao" ni jambo la busara na linamfanya mtu anayetishia hivyo asiwe na sifa za kuwa rais wa nchi.