Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Ni kweli hiyo theory ipo kwenye psychology lakini kwa alikofikia Lissu hapana...kwenye uongozi busara ni muhimu sana na Lissu hiyo busara ameikosa kabisa kila kitu yeye anajiona anakijua na yuko juu wa wengine kwa kila jambo.nina karibu copy ya mijadala yake ya Bungeni huwa namsikiliza sana tu ktk kuchangia hoja zake kwa muda mrefu....ni kweli mambo mengi anayajua lakini ana vuka mipaka sana na hilo ni tatizo kubwa ukiwa kiongozi

Kwa hiki ulichokiandika (ukitoa ile sifa ya kujua mambo mengi) utakuwa umeelezea wasifu wa Magufuli.
 
Hata wao ccm wanatambua mwenyekiti wao hawezi kuwa amiri jeshi mkuu. Lakini kwasababu tumeambiwa ni subjects watafanyaje? Lazima kutetea matumbo yao.
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Sidhani kama itakuja kutokea tupate mtu ambaye hastahili kuzidi huyu tuliye naye. Amekosa karibia sifa zote.

Hata kama TL hana sifa lakini akilinganishwa na huyu tuliye naye, TL ataonekana malaika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Nonsense
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Hapo umenena mkuu. Watanzania wengi wenye busara wanaoana hivyo. Anadharau kubwa sana. Anajiona yeye anajua kila kitu. Yeye ndiye aliyetunga sheria na haki za binadam na Freedom of speech.

Ukweli hajui kitu. Ni mpayukaji tu na hajui hata kutoa hoja. Anacho zungumza ni utumbo tu kama mtoto mdogo. Mtu anaye jiita mwana sheria maarufu anazungumza kwenye jukwaa la kimataifa kama mtoto wa shule ya msingi. Mwana sheria maarufu anashindwa kujibu maswali rahisi kuhusu mambo mazuri ambaye Rais ameyafanya kwa ajili ya chuki! Kila akiulizwa anatoa mambo yale yale ambayo ameyakariri kichwani ili mradi tu asionekane anamsifu Magufuli!
Mmh! Kwa kijerumani hiyo tunasema "Das ist krank". Mambo ambayo yako kichwani ndiyo hayo hayo tu anataka kuyatoa matokeo yake anashindwa kupanga maneno vizuri kiasi kwamba inaonekana dhahiri kuwa anachuki na Rais, anachuki na mfumo wa serikali yetu, Bunge letu tukufu, mahakama na vyombo vya Dola na kadhalika.

Kila nikimsikiliza Tundu Lussu najiuliza mimi mwenyewe, inawezekanaje mtu kudai haki za binadam wakati yeye mwenyewe hivyo vitu anavyo vidai hawezi kuvi-impliment? Kwanza hajui vigezo vya ukiukwaji wa haki za binadam vikoje? Kwanza Lissu hana affinity na wanadam wenzake, hawaheshimu na wala hawathamini? Kwa vigezo hivi ni haki kweli anavyo payuka duniani kuwaonyesha wazungu kuwa yeye ni mtetezi mkubwa wa haki za binadam Tanzania? Huu ni uongo!

Wakati yuko katika mkutano wa mambo ya sheria za Afrika jijini Washington D. C, Lissu alidai katika kauli yake moja kuwa Rais Magufuli hajui kuzungumza kiingereza ila yeye ndiyo anakijua.

Hii sentesi ilinichekesha sana, yaani mtu ambaye hata kupanga maneno yenyewe kwa kiingereza vizuri yanamshinda kiasi kwamna watu wakamwelewa ni nini hasa anaongelea, ana payuka hadharani kuwa Rais Magufuli kiingereza hajui. Kwa mtu ambaye amesoma Amerika na kuishi kwa mda Amerika mimi naona kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza chuo kikuu Bongo. Kiingereza chake ni cha vitabuni na sio cha tumboni.

Asijivunie kiingereza chake ambacho ukilinganisha na watu ambao wanaongea kiingereza yeye chake kinasikika kama cha mtu ambaye hata Amerika hajaishi. Nina dada yangu mwalim, nikisikilza kiingereza chake utafikiri cha mtu ambaye ametoka UK leo, lakini cha ajabu ni kwamba hata Kenya hajafika. Babu yangu kabla hajafa alikuwa anapiga kimombo na kijerumani vizuri sana, lakini Uingereza na Ujerumani hajawahi fika. Kwa mtu aliyesoma na aliyepata Masters yake George Washington the University of Law, kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza High school Bongo.

Tundu Lissu ni falah sana. Anapswa kupuuzwa. Ni mtu ambaye hana akili timamu na nafikiri bado ni mgonjwa. Akili zake haziko sawa sawa. Mbunge mzima anatoa pumba kama za watu ambao wako Manzese!

Yaani watu wanagharimia millions of T-shilings kumpeleka Tundu Lissu kwenye chuo cha Washington D.C ili kuwaeleza intellectuals kuwa Rais Magufuli hawezi kusema sentensi nzima kwa kiingereza? Ndiyo kauli za mtu mwenye busara hizo? Hivi mtu kama yeye anatakiwa afanye ujinga wa aina gani ndiyo watu waweze kutambua kuwa Lissu hakili hana?

Ndiyo inawezekana kuwa Rais Magufuli anashindwa kutamka baadhi ya maneno ya kiingereza lakini akisoma anaelewa na ndiyo maana amepata u-DOCTORATE.
Mbona watanzania wengi hasa wale ambao wamechukua masomo au combinations za masomo ya science kama PCM, PGM, PCB na mengineyo zamani tulimaliza high school na kuanza vyuo, lakini bado kiingereza kilikuwa hakipandi vizuri katika kuzungumza? Lakini katika kusoma watu walikuwa wanapata Max nzuri? Ina maana na sisi tulikuwa hatujui kiingereza?

Nawaomba wana CHADEMA msaidieni kamanda wenu. Hayuko vizuri. Kauli ambazo ana zitoa zunaonyesha kuwa Lissu hana ustaarabu wa kidiplomasia. Hazungumzi kama statesman mwenye reputation ya kimataifa. Lugha yake ni ya kijiweni au katika Bunge la migombani.
Ni uozo mtupu. Kama mnamtaka yeye aendelee kuwasemea duniani, kwa hali hii mtaumbuka wote. Inaonekana dhahiri kuwa wana CHADEMA wote ni vichaa na hivyo kufanya mdharaulike na hivyo kutokuwa na Credibility kubwa kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Lissu ameenda kutembeza bakuli kwa mabwana zake ili aje agombee uraisi huko sijui mtu huyu akipata uraisi si ataitikii abee kwa wamarekani na hao watu wa Ulaya,sababu itabid alipe fadhila ,ingawa hizo ni ndoto tu za alinacha anazoota Lissu kwani na hana ubavu wa kuwa raisi wa JMT
 
Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Sijaona mahali popote katika bandiko lako sababu inayokufanya uone kuwa Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rekodi ya utetezi wake katika hiyo migodi na huko bungeni inaonyesha ni mbunge anayetetea haki za wananchi na kupinga kupitishwa kwa Katiba/sheria mbovu. Sijui kwa nini wewe haya unayaona kuwa ni mambo mabaya.

Ungesema kwamba Mh Tundu Lissu hafai kuwa Rais kwa sababu za kukandamiza na kunyima haki raia, na hata kutaka kuondoa roho za raia kwa sababu tu za kupishana hoja hapo ningekuelewa vizuri.

Mh Tundu Lissu anafaa sana kwa sasa kuwa Rais wa Tanzania kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki, kusiginwa kwa katiba na kutofuata taratibu za kisheria zilizopo, mambo ambayo yameshamiri sana wakati huu kiasi cha kuhatarisha umoja wa taifa letu.

Tunataka mtu anayeelewa maana ya kuwa na katiba na kuiheshimu katiba yetu.
 
Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Kwa presentation kama hii nani katika jumuiya ya academicians atakuheshimu! Watu wenye IQ hata ya wastani watakudharau! very shallow reasoning portrayed!
 
Maneno Meier:

Sikutaka ku'quote bandiko lako sehemu yoyote, kwa sababu ningekwoti sehemu nyingi mno zenye upungufu na kutaka kurekebishwa.

Pia sikutaka ku'quote' bandiko lote kwa sababu halistahili kulirudisha lote lilivyo kwenye mjadala huu.

Niseme tu, "Umechanganyikiwa sana; hata usijue unachokisema." Najua utabisha, lakini ungetulia na kusoma tena ulichobandika hapo juu, nadhani usingeamini kwamba ni kweli ndicho ulichokiandika wewe mwenyewe.
 
Kwa presentation kama hii nani katika jumuiya ya academicians atakuheshimu! Watu wenye IQ hata ya wastani watakudharau! very shallow reasoning portrayed!
Huyo ni "academician"?

Hebu msome pia ndugu yake mwingine hapo chini kwenye bandiko #36.

Kama hawa watu ndio wasomi wetu, basi tuna shida kubwa kama taifa.

Inawezekana ndio ikawa sababu wanamshambulia Mh.Lissu, kwa kujihisi usomi wao anaudharau? Maana wamekazia sana sababu hiyo katika michango yao hiyo miwili.
 
Back
Top Bottom