Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

Naona lissu kapigwa chini,nna chale baya nyie..wampige chini 2pata singo mpya ktk M4c huku hapa nnapoishi kuleta maji 2mekosa ml 1 ila 6 b za uchaguzi zimo.
 
Watanzani tujifunze kuheshimu uhuru wa mahakama na sheria zetu za nchi.. Tukubaliane kwa hukumu yoyote.
 
Kamanda Lissu atashinda kwa uwezo wa Mungu ingawa amekuwa mwiba mkali sana kwa magamba na yeye ni kama wabunge 50 wa magamba!!:peace::peace:peoples Power!!! We shall overcome.
Umeiweka kiimani zaidi!tusubili hukumu yenyewe!
 
wakuu swala kuwepo polisi lisitutishe kwani hataweza kufanya upumbavu walioufanya ARUSHA wanatambua guvu ya umaa,nawameona yaliyo watokea baada ya kufanya maamuzi yao ya kijinga,sisi kama wapigania haki twaamini mnadhim wetu mkuu nilazima kushinda kulingana na mwenendo wa kesi.viva chadema viva wapiganaji,HAKIKA KWELI ITATUWEKA HURU,
 
This is too much Kamanda Isango. Sema chochote basi, au kama bundle imekata, weka namba tukurushie hela
 
Imekuwa wazi sasa mnatumika kisiasa na sio dalili tena.Taarifa za kujaza magari ya polisi kwenye hukumu ya Lissu ni wazi serikali wanayo mkononi.Jueni mnawapa magamba kinga ya muda tu! Itafika wakati sheria itatungwa magamba wakiwa hawapo kuwatimua majaji.Someni alama za nyakati,mnaye mlinda anakufa.
 
vp picha zitapatikana? Hata kama kwa nje ya mahakama tunaomba wanyampaa.
 
Mkuu
Inauma sana, makamanda mstari wa mbele wanavyosakamwa!!

Sijui hata hawa jamaa hawaoni faida ya kuwa na wabunge kama Lissu, wanaojituma kuliko hata mwanasheria mkuu wa Serikali?? Hili Taifa sijui linaelekea wapi??
Ritz,

Post hii niliyomjibu bukanga niki-apply hapa utaomba kati ya Mnyika na Lissu hata mmoja asipoteze jimbo

Bukanga,

Ni kweli kaka.Jipe moyo kamanda.Roho inauma kwa kuwa chombo kinachotakiwa kusimamia haki hakina confidence ya umma.Chombo kinachotakiwa kutoa haki kina historia ya kunyonga haki.Kwangu mimi vyovyote itakavyokuwa Tundu Lissu anabaki kuwa role model katika kusimamia kile anachoamini na pia ni alama ya kupigana na impunity.Ni catalyst katika mabadiliko tuyatakayo.Naomba wale wabakaji wa demokrasia warudie tena kosa ili kuimarisha M4C.Waache watuongezee makamanda wa
kuharakisha mabadiliko ikiwezekana kabla ya 2015
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom