Kushindana na haki ni sawasawa na kushindana na Mungu...hata wakijaribu vipi kutunyima haki yetu, mwisho wa siku tutaipata kwa wingi zaidi...!Pamoja na kuchelewa sana, sasa jaji Moses Mzuna, ndo anatinga mahakamani, nitaendelea kuwajuza, ila naomba watu ambao hawapo mahakamani waache kutuma threads zingine zinawachanganya wasomaji.Ving'ora vya jeshi la polisi vinalia nje, vitisho kila kona utadhani kuna msafara wa Rais wa Marekani humu