pinochet
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 345
- 96
:yo:Mkuu huwa mnapata wapi haya maneno? Yani nimecheka mpaka basi, i reserve my comments :rockon:Ha ha ha ha mkuu. Mbona umenichekesha hivi? But lakini we una tudola na tutanzania shillingi ili majambazi wakikuvamia angalao upate cha kuwapa? Jamaa alikuwa na hela sawa na mshahara wa mwaka kwa ofisa msomi wa serikali, yeye ilikuwa ni tuchenji twa kununulia kala kakitu katamu kalikoshikwa pabaya kama alinyojisemea mzee ruksa. Lakini hivi huhu jamaa ni mzima wa afya? Mke wake alishatangulia?