MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
Hahaaaah lissu bana....hakuna kichwa kinachomsumbuaga mkulu kama lissu....leo nimemuona mkulu anavyoweweseka mpaka anatia huruma
amesema adhabu ya juu kabisa mbunge kufungiwa no vikao 20
Hivi ile issue ya wabunge wa Africa Mashariki mbona aliangukia pua!?.Hahahahahahaaaaaa..
Mtafute Kamanda Salum Hamdani akuhadithie.
Maana sasa kapangiwa kazi nyingine ili asiwepo kwenye ushahidi tena.
amesema adhabu ya juu kabisa mbunge kufungiwa no vikao 20
Ni kati ya TUNU ZA TAIFAHiki ndio kichwa pekee katika nchi hii.
Perhaps he is the most intelligent MP so far.
Kawaida karama hainyimwindio maana kila siku wanampa homework
Haina ubaya wowote maana wote ni wana cdmMbowe please tangazeni Lissu kuwa kiongozi wa chadema kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa 2020
Habari za mh Lissu anazijua Makindanamkubali xna Fundi Lissu ktk mpira enzi hzo ni xavi au A.iniesta anajua mpak anajiogopa haendeshw na matakwa ya moy anafikiria halmashaur ya kichwa.
Naona unatafuta soko hapa jamvini baada ya kutimuliwa kona barNgoja nijiimbie wimbo nyumba ndogo nyumba ndogo mwenye nyumba ndogo aja juu baada ya nyumba ndogo kulalamika kuwa usipinitetea nakubwaga nyumba ndogo nyumba ndogo oya oya nyumba ndogo nyumba ndogo everybody sing nyumba ndogo oya oya oya oya oya nyumba ndogo
Unaweza kutuwekea softcopy ya hiyo hukumu/maamuzi humu?Hivi ile issue ya wabunge wa Africa Mashariki mbona aliangukia pua!?.
Mwambie akafungue hiyo kesi. Ninakuhakikishia hao akina Bulaya na Mdee wanakosa ubunge. Hapo anaongea siasa tu. Mwambie apige hatua yoyote kishitaki. Maana hayo ni maamuzi ya bunge akiwamo yeye.
Hapo anabwabwaja tu.
Tena wajinga wa kutupa maana hata hawajui kuwa mwenye kumfukuza mbunge ninani~~~>>Kwakuwa sifa kuu ya Mbunge ni Kusoma, Kuandika na Kuhesabu ndio maana wanafikia maamuzi ya kihayawani kama haya.
Wengine walifikia kutoa ushauri kuwa Mdee & Bulaya wafukuzwe...... Hawa walionyesha kiwango cha juu kabisa cha Ujinga wao
Naunga Mkono hoja.
Paskali
Naunga Mkono hoja.
Paskali
Ipo siku mkuu endelea kupiga kitabuHuyu jamaa ni wa karne ya 30 lakini aliwahishwa ili awepo karne ya 20 na 21 ndiyo maana wajinga wengi wanaoishikilia nafasi hawamwelewi! I wish I kudu bi Igp!
Ndugai sasa lazima aombe poooUkichimama mchale! Ukikaa mchale! Ukikimbia mchale! Huyo ndo TL