Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,278
- 2,040
Najaribu kujiuliza japo sio Mwanasheria Je RUFAA yoyote hukatwa baada ya kuanza kutumikia Adhabu uliyopewa au kabla ya kutumikia Adhabu? WABUNGE
Halima Mdee na Genge Lake Wamepewa adhabu ya kufukuzwa uanachama na Kamati kuu ya Chama chao Adhabu hiyo huenda sambamba na kuvuliwa Ubunge mara moja pindi Taarifa ya Kuvuliwa Uanachama inapofika Bungeni kwa SPIKA kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi inayosema Mbunge hupoteza Sifa ya kuwa Mbunge akifukuzwa na Chama chake.Ili waonekane wameanza kutumikia Adhabu Bunge lilipaswa mara moja kuwavua Ubunge kwa Mujibu wa KATIBA ya Nchi.
Baada ya Kuvuliwa Ubunge Kama walikuwa na NIA ya kukata RUFAA ndio WANGEKATA.Kwa Maajabu ya NCHI hii na BUNGE LAKE ,Halima na Genge Lake licha ya Kufukuzwa Uanachama na Bunge kupewa Taarifa lakini hakuna Utekelezaji wowote wa kuwavua Ubunge Kama KATIBA inavyoelekeza . Binafsi naweza kufananisha Tukio hili na kuwa WAMEKATA RUFAA kabla ya kutumikia ADHABU Je wanakata RUFAA ya NINI wakati hawana Adhabu yoyote wanayoitumikia? Kama ni UBUNGE bado wanaendelea nao.
Naomba Wanasheria mtupe elimu ya Rufaa hukatwaa wakati gani je wakati unatumikia ADHABU au Kabla ya kuanza Kutumikia Adhabu kwamba ukishindwa RUFAA ndio utumikie Adhabu uliyopewa.Kwa Halima na Genge Lake ni Wazi Wamekata Rufaa kabla ya kutumikia Adhabu na endapo watashindwa Rufaa ndio Waitumikie Adhabu yao ya KUFUKUZWA UANACHAMA .
Halima Mdee na Genge Lake Wamepewa adhabu ya kufukuzwa uanachama na Kamati kuu ya Chama chao Adhabu hiyo huenda sambamba na kuvuliwa Ubunge mara moja pindi Taarifa ya Kuvuliwa Uanachama inapofika Bungeni kwa SPIKA kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi inayosema Mbunge hupoteza Sifa ya kuwa Mbunge akifukuzwa na Chama chake.Ili waonekane wameanza kutumikia Adhabu Bunge lilipaswa mara moja kuwavua Ubunge kwa Mujibu wa KATIBA ya Nchi.
Baada ya Kuvuliwa Ubunge Kama walikuwa na NIA ya kukata RUFAA ndio WANGEKATA.Kwa Maajabu ya NCHI hii na BUNGE LAKE ,Halima na Genge Lake licha ya Kufukuzwa Uanachama na Bunge kupewa Taarifa lakini hakuna Utekelezaji wowote wa kuwavua Ubunge Kama KATIBA inavyoelekeza . Binafsi naweza kufananisha Tukio hili na kuwa WAMEKATA RUFAA kabla ya kutumikia ADHABU Je wanakata RUFAA ya NINI wakati hawana Adhabu yoyote wanayoitumikia? Kama ni UBUNGE bado wanaendelea nao.
Naomba Wanasheria mtupe elimu ya Rufaa hukatwaa wakati gani je wakati unatumikia ADHABU au Kabla ya kuanza Kutumikia Adhabu kwamba ukishindwa RUFAA ndio utumikie Adhabu uliyopewa.Kwa Halima na Genge Lake ni Wazi Wamekata Rufaa kabla ya kutumikia Adhabu na endapo watashindwa Rufaa ndio Waitumikie Adhabu yao ya KUFUKUZWA UANACHAMA .