Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,505 142,293 Mar 26, 2021 #561 Ahsante kwa taarifa... na sasa naawaza kurudi...
Gavana JF-Expert Member Jul 19, 2008 33,232 8,781 Mar 27, 2021 #562 Champagnee said: Unataka system gan? Click to expand... System inayompa mwananchi haki zake za kikatiba na uhuru wa kumwajibisha kiongozi yeyote pindipo anapoenda kinyume na katiba, hata awe Raisi
Champagnee said: Unataka system gan? Click to expand... System inayompa mwananchi haki zake za kikatiba na uhuru wa kumwajibisha kiongozi yeyote pindipo anapoenda kinyume na katiba, hata awe Raisi
BROKE BOYS JF-Expert Member Jan 12, 2019 13,218 39,052 Mar 28, 2021 #563 Gavana said: System inayompa mwananchi haki zake za kikatiba na uhuru wa kumwajibisha kiongozi yeyote pindipo anapoenda kinyume na katiba, hata awe Raisi Click to expand... Piga kazi mkuu hiko ndo muhimu, vingine tuwaachie wenyewe
Gavana said: System inayompa mwananchi haki zake za kikatiba na uhuru wa kumwajibisha kiongozi yeyote pindipo anapoenda kinyume na katiba, hata awe Raisi Click to expand... Piga kazi mkuu hiko ndo muhimu, vingine tuwaachie wenyewe
Gavana JF-Expert Member Jul 19, 2008 33,232 8,781 Mar 28, 2021 #564 Champagnee said: Piga kazi mkuu hiko ndo muhimu, vingine tuwaachie wenyewe Click to expand... Sorry nchi hii si mali ya kikundi fulani
Champagnee said: Piga kazi mkuu hiko ndo muhimu, vingine tuwaachie wenyewe Click to expand... Sorry nchi hii si mali ya kikundi fulani