MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Watanzania mwenzangu nawasalimu.
Kwanza nilipongeze Jeshi letu la Polisi kwa baadhi ya kazi zake nzuri na pia nitoe masikitiko yangu juu ya baadhi ya matukio ya muda mrefu ambayo pamoja na intelejinsia yake limeshindwa kutupa majibu Watanzania.
Mambo ambayo Jeshi letu yanaonekana limeshindwa kabisa ni pamoja na:
1. Kukamata waliomteka Mo Dewji
2. Kukamata waliompiga risasi Tundu Lissu
3. Alipo Ben Saanane
4. Kukamata aliyempiga risasi binti Akwilina
Mambo haya yanafikirisha sana, kwani ndugu na jamaa wanatamani kuwajua na kukamatwa kwa waliofanya huu uhalifu kwa ndugu zao ili haki ya wapendwa wao iweze kupatikana.
Niliamini kama Jeshi letu limeshindwa kuwapata na kuwakamata wahusika, kwanini lisiombe usaidizi wa kitalaamu kutoka nje ili kuwabaini wahusika?
Naamini Jeshi letu lina mahusiano mazuri na Mashirika ya Kijasusi juu ya kuwabaini wahalifu.
Kwanza nilipongeze Jeshi letu la Polisi kwa baadhi ya kazi zake nzuri na pia nitoe masikitiko yangu juu ya baadhi ya matukio ya muda mrefu ambayo pamoja na intelejinsia yake limeshindwa kutupa majibu Watanzania.
Mambo ambayo Jeshi letu yanaonekana limeshindwa kabisa ni pamoja na:
1. Kukamata waliomteka Mo Dewji
2. Kukamata waliompiga risasi Tundu Lissu
3. Alipo Ben Saanane
4. Kukamata aliyempiga risasi binti Akwilina
Mambo haya yanafikirisha sana, kwani ndugu na jamaa wanatamani kuwajua na kukamatwa kwa waliofanya huu uhalifu kwa ndugu zao ili haki ya wapendwa wao iweze kupatikana.
Niliamini kama Jeshi letu limeshindwa kuwapata na kuwakamata wahusika, kwanini lisiombe usaidizi wa kitalaamu kutoka nje ili kuwabaini wahusika?
Naamini Jeshi letu lina mahusiano mazuri na Mashirika ya Kijasusi juu ya kuwabaini wahalifu.