Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Lissu huyu ndiye anaomba misaada apate fedha ya kula na ya kuwasomeshea watoto,tena kwa mabwana zake.mhurumieni Rais wenu wa 2020, leo hii anaomba misaada hata kabla hajachukuwa hiyo form ya Urais,huruma sana

Jisikitikieni nyie wapiga debe mchwara mnalia njaa na mnayempigia debe analia njaa ni hatari sana,mtachangia hadi mtauza vijiko ili mpate fedha za kumchangia Rais wenu ombaomba,Jamani hebu na nyie wapiga debe njaa amkeni usingizini.Fikiria umeoa huna kazi na mke hana kazi hao watoto watakaozaliwa si watakuwa machokoraa/mateja wote?Ndio mfano wa huyo ombaomba anayetarajia kuwa Rais.Rais ombaomba,wananchi wake watakuwa ombaomba wakimbizi


Kama Urais unatafutwa kwa njia hii mmepataaa!!!!!
 
Lissu huyu ndiye anaomba misaada apate fedha ya kula na ya kuwasomeshea watoto,tena kwa mabwana zake.mhurumieni Rais wenu wa 2020, leo hii anaomba misaada hata kabla hajachukuwa hiyo form ya Urais,huruma sana

Jisikitikieni nyie wapiga debe mchwara mnalia njaa na mnayempigia debe analia njaa ni hatari sana,mtachangia hadi mtauza vijiko ili mpate fedha za kumchangia Rais wenu ombaomba,Jamani hebu na nyie wapiga debe njaa amkeni usingizini.Fikiria umeoa huna kazi na mke hana kazi hao watoto watakaozaliwa si watakuwa machokoraa/mateja wote?Ndio mfano wa huyo ombaomba anayetarajia kuwa Rais.Rais ombaomba,wananchi wake watakuwa ombaomba wakimbizi


Kama Urais unatafutwa kwa njia hii mmepataaa!!!!!
Hatariiiiiiiiiiiii
 
Donkey_penis-1.jpg

Komenti yako inanikumbusha AJALI.
 
Lissu huyu ndiye anaomba misaada apate fedha ya kula na ya kuwasomeshea watoto,tena kwa mabwana zake.mhurumieni Rais wenu wa 2020, leo hii anaomba misaada hata kabla hajachukuwa hiyo form ya Urais,huruma sana

Jisikitikieni nyie wapiga debe mchwara mnalia njaa na mnayempigia debe analia njaa ni hatari sana,mtachangia hadi mtauza vijiko ili mpate fedha za kumchangia Rais wenu ombaomba,Jamani hebu na nyie wapiga debe njaa amkeni usingizini.Fikiria umeoa huna kazi na mke hana kazi hao watoto watakaozaliwa si watakuwa machokoraa/mateja wote?Ndio mfano wa huyo ombaomba anayetarajia kuwa Rais.Rais ombaomba,wananchi wake watakuwa ombaomba wakimbizi


Kama Urais unatafutwa kwa njia hii mmepataaa!!!!!
Pumbaf zako wewe, kilanga cha nini?inakuuma kitu gani?kama mlitaka kumuua ikashindikana leo hii mapovu yanini?

In God we Trust
 
Nasikia siku hizi wameongezewa posho ili wamuandame lissu
Wewe ndio unaamka leo, wenzako walianza hizi habari toka jana wakaambulia patupu. jitahidi uwe unaulizia wenzako hapo lumumba kuwa wamepost nini ili msiwe mnarudia post moja watu zaidi ya kumi

In God we Trust
 
Back
Top Bottom